Dada yangu ananipa hasira, alikimbia ndoa baada ya mwaka sasa yupo kwa wazazi

Mtafutieni mtaji akajitegemee,wanawake siku hizi wanapenda kuwa single mother,wapo.wengi wameniomba niwazalishe tatizo ni kuwa wanataka niwajibike kwa mtoto itakapo hitajika.
Wanapenda sana kuishi bila ndoa siku hizi.
 
Nimenifunza kitu hapo👆🤔❗
 
Hakukuwa na haja ya kuandika hizo tarakimu za pesa sijaona kama mada yako ilihitaji kuweka hizo tarakimu
Kuna ubaya gani sasa au Unahisi jamaa anajimwambafai, Sioni kama Kuna Shida we soma upate Ujumbe bas Maisha Hatufanani hiyo hela kuna Familia wanayo ndio na wala sio Miujiza

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Vitu vingine sometimes wazazi wana vilea, utamsikia mzazi anamwambia mwanae "ukiona ana kunyanyasa rudi nyumbani........",binti nae bichwa hilo.

Nakumbuka miezi kama miwili iliyopita paroko msaidizi, alikuwa anawasisitiza wazazi wawafundishe watoto wao kazi za nyumbani, kwani kishachoka kusuluhisha kesi kama hizo, mwanamke hajui kufua hata chupi yake.
 
Hiyo ni mbegu mlioipanda wenyewe. Kama wazaz wako wamempa uhuru kiasi cha kuvaa nguo za ajabu zisizo na stahaa inamaana wao ndio chanzo
 
Kuna mzee mtaani kwetu alikuwa na binti mwenye akili mshindo kama huyo dadaako..
Maisha ya huyo binti yalikuwa yanamkera mzee wa watu mpaka basi.
Ukimkuta kwenye bao analalamika mwishoni anasema "dah huyu malaya dawa yake wapatikane wanaume wawili na mi mwenyewe (baba mtu) nikiwepo tumgonge mande mpaka akome
 
Watu waishi kadri watakavyo(liberty freedom to live as you wish). Kuandika au kutoandika haina tofauti. Ni vyema kujielekeza kwenye mada. That's very childish na mawazo ya kimaskini.
Braza punguza shobo
 
Niliwahi kuwa na demu kwao mboga nane ukimpigilia bao nyingi anaenda kusemelea kwa mamaake,nhhh nikaona hili jipu nikapiga chini,licha ya kuwa mifuko ilikuwa inatuna, haitoboki
Hii inaitwa karanga mbichi lawama kwa mama mkweee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hawa wanawake hawa ila sababu nimeoa nawafahamu akili zao daah..
Kwa hiyo yupo tu home hata Kubet habet
 
nenda polepole, hujui kakimbia nini, hawezi kukwambia kila kitu. si ukute aliombwa ndogo na wewe unang'ang'ania arudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…