Dada zetu mnapotongozwa muwe na maneno ya staha

Sikumfanya chochote kibaya mi mtu mpole Sana nashangaa mechanism ya ukonokono imetoka wapi..[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
 
We mkaka Mungu hapendi ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mara hii itabidi apende mwanae nimeteswa Sana anaona nayopitia! Ameona mateso yangu Sasa kaamua aniletee wakufanana nami nae ni wewe kono girl..🀣
Karibu ulimwengu wa konokono. 😊
 
Hizo ni mbwebwe ila huo niuongo
 
Nungunungu wewe, konokono wewe! Una utajiri wa majina mapya [emoji28]
 
Mara hii itabidi apende mwanae nimeteswa Sana anaona nayopitia! Ameona mateso yangu Sasa kaamua aniletee wakufanana nami nae ni wewe kono girl..[emoji1787]
Karibu ulimwengu wa konokono. [emoji4]
[emoji57][emoji57][emoji57]mtoto kwenu hakuna wakubwa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nungunungu wewe, konokono wewe! Una utajiri wa majina mapya [emoji28]
Wacha nikupe list ya majina niliyopewa yote..

Kiberenge
Komamanga
Nungunungu
Embe ng'ong'o
Konokono
Kilamba mwiko
Sijui litafata lipi..πŸ˜…
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Aiseee dah!
Ndugu we umepita na wangapi sasa..?
Hivyo umekuwa sugu msuguano..🀣
 
πŸ˜…
Dah! So mkuu hii nayo mali yako..?
Hebu tupe hiyo hirizi unayotumia nasisi tuivae..🀣

Huyo dada aje hapa akili Kama ni wewe.
 

Mkuu wewe mwanamke hapati pesa kizembe
 

Mkuu hapo huna dem bali una wakukufilisi[emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…