Daisle Ulomi aliwahi kuwa askari, jeshi la polisi linapaswa kuwa na majibu

Si mchezo
 
We Mafwele wewe Acha siasa.
na wewe kabla ya kuanza misele na ile boda boda yako, toa kwanza loki na kisungura kimoja kizima, ili ukifika mataa ya barabarani kwa mfano pale ubungo, usiogope yale masemitela wala mabasi ya mikoani, wewe ni kupeleka moto ili hatimae tuoene itakavyokua na tukusahau πŸ’
 
Terminator Mimi sitishiki.
bodaboda kama kawa mnajipanga mstari kuvuka mataa yaliyorihusu magar yapite, halafu nyinyi kwa kuvuja sheria mnalazimisha kukatiza barabara dah 🀣

dah inasikitisha sana aise ndio maana vifo vinakua vya ajabu sana na mwanasiasa moja wa Kaskazini aliwahi kusema kazi ya boda ni laana tupu πŸ’
 
Hii nchi kuna mambo bora usiyajue manake moyo unaweza kusimama
 
Katika kitu nilichojifunza bongo ΒΎ ya madereva hawajui au wana uwelewa mdogo wa sheria za barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…