Unaweza eleza namna maboss zake walivomuua?Bro, ajali ya kutengenezwa hiyo hakuna cha nn wala nn nasema tena Ulomi kauawa na mabosi zake
Ww ccm unaifaham?Eti kuna watu wanaogopa shetani hata hawamfahamu, wa kuogopwa ni ccm.
Wenzake toka bungeni walionja utamu wa Lori na ile ilikiwa intro picha kamili yaja.mwanasiasa moja wa Kaskazini aliwahi kusema kazi ya boda ni laana tupu π
We nawe unajitoa ufahamu,Ni muhimu sana kuwa waangalifu barabarani, Lakini ni muhimu zaidi kuzingatia sheria za usalama barabarani hasa nyakati hizi kuelekea sherehe za Christmas na mwaka mpya 2025π
Hakuna hayo ni mauaji ya policcm usietee uuaji kisa hayako nyumbani kwako. Jitahidi kuwa na moyo wa binadamu policcm wanafanya utekaji na uuaji kwa kila leo na ushahidi wa hayo yapo.ni muhimu sana kuzingatia maelezo mahususi, itakusaiadia..
haya mengine kwa kila muombolezaji kusema lake ni jambo la kawaida msibani.
R.I.P ulomi π
Utata ni tarehe ya kifo na taarifa ya polisi kuwa kimya tangu 11.12.2024 alipopelekwa hospital Mwananyamala mpaka 16.12024. Kwa nini Polisi walikaa kimya wakati taarifa za kupotea zilishazagaa kwenye mitandao na taarifa ilikwishatolewa polisi. Simu, vitambulisho vyake vipo wapi. Waliomuokota ni nani. Alipata ajali wapi. Kwa maelezo aliondoka mchana saa 6 ambapo haiwezekani watu wasishuhudie tukio kweupe.ni muhimu sana kuzingatia maelezo mahususi, itakusaiadia..
haya mengine kwa kila muombolezaji kusema lake ni jambo la kawaida msibani.
R.I.P ulomi π
kwani kama aliwahi kuwa askari polisi anapokufa ni lazima auawe?Hili nina uhakika nalo kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la Polisi Tanzania ila sina uhakika kama aliachana na hiyo kazi(Hapa ndipo swali lilipo kuhusu kifo chake, Ulomi kauawa) maana ni siku nyingi sijaonana naye ila ufahamu wangu na hata kiapo naweza thibitisha kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la polisi Tanzania.
N.B; Nilikutana na Daisle Simon Ulomi at Tumaini university Dar es Salaam College(Tudarco).
He was a good brother, sikutegemea km kuna siku atauawa kikatili hivi...
Pumzika kwa amani kamanda DView attachment 3178324
Hakuna ishu ya system bongo wanachomoana kindezi sana wakati mali zote tumewaachia wao..Kuwa mtu wa system inataka uwe na kaba kweli kweli. Kuchomolewa fuse ni muda wowote ule
gentleman,Utata ni tarehe ya kifo na taarifa ya polisi kuwa kimya tangu 11.12.2024 alipopelekwa hospital Mwananyamala mpaka 16.12024. Kwa nini Polisi walikaa kimya wakati taarifa za kupotea zilishazagaa kwenye mitandao na taarifa ilikwishatolewa polisi. Simu, vitambulisho vyake vipo wapi. Waliomuokota ni nani. Alipata ajali wapi. Kwa maelezo aliondoka mchana saa 6 ambapo haiwezekani watu wasishuhudie tukio kweupe.
Macho Yana niniKuna uzi nilisema hapa kuhusu macho ya marehemu Ulomi nikapingwa weee ila macho ya namna ileπ
Apumzike kwa amaniπͺπͺ
jitahidi sana kuendelea na moyo huo huo wa kinafiki na kuamini katika uzushi na chuki kwa wasio husika...Hakuna hayo ni mauaji ya policcm usietee uuaji kisa hayako nyumbani kwako. Jitahidi kuwa na moyo wa binadamu policcm wanafanya utekaji na uuaji kwa kila leo na ushahidi wa hayo yapo.
Kama alipigiwa simu aende kukagua contena, alienda bila vielelezo mfukoni kuwa ndiye mmiliki wa hizo bidhaa ? Wataalam wa mawasiliano wangeweza kufuatilia namba zilizompigia mara ya mwisho hata kama simu yake ilipotezwa makusudi, ili kubaini wahusika. Hiyo imefanyika ? Mtu anapata ajali saa 6 mchana jua linawaka, watu wanapita wanaona halafu mnaleta tlaatlaah na blaablaa kwenye kifo. Yawezekana aliharibu mahala. Lakini huwa najiuliza, kwani adhabu pekee huwa ni kifo ?gentleman,
wangesema nini na muungwana hakua na utambulisho wowote na hakuweza kueleza chochote kulingana na alivyojeruhiwa na ikawa ngumu kumtambua.
wasamaria hususan bodaboda wenzake walimuwahisha hospitali Lakini ndiyo hivyo tena akakata roho alipofikishwa hospital.
polisi sio malaika kumtambua asie na utambulisho nchini π
saa zingine ubinafsi na kujiamini kupita kiasi kuna tuponza sana.Kama alipigiwa simu aende kukagua contena, alienda bila vielelezo mfukoni kuwa ndiye mmiliki wa hizo bidhaa ? Wataalam wa mawasiliano wangeweza kufuatilia namba zilizompigia mara ya mwisho hata kama simu yake ilipotezwa makusudi, ili kubaini wahusika. Hiyo imefanyika ? Mtu anapata ajali saa 6 mchana jua linawaka, watu wanapita wanaona halafu mnaleta tlaatlaah na blaablaa kwenye kifo. Yawezekana aliharibu mahala. Lakini huwa najiuliza, kwani adhabu pekee huwa ni kifo ?
Hivi huwa unajisikia vizuri kabisa kufurahia Mauaji ya Mtu kisa imetuhumiwa serikali ya CCM?Ni muhimu sana kuwa waangalifu barabarani, Lakini ni muhimu zaidi kuzingatia sheria za usalama barabarani hasa nyakati hizi kuelekea sherehe za Christmas na mwaka mpya 2025π
yaani mtu apate ajali na chombo chake na kupoteza maisha nibabaike na lawama, maoni na mitazamo ya waombolezaji gentleman?Hivi huwa unajisikia vizuri kabisa kufurahia Mauaji ya Mtu kisa imetuhumiwa serikali ya CCM?