Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Hapo inahitaji akili ya ziada kuelewa kama ameuwawa ama laah bahati mbaya ubongo wako umekomazwa na kusoma majuzuu mpaka ile common sense sio common Tena huwez kulielewa hilo tukio.Kauawa kivipi na kwa nini!?..eleza,siyo unang'ang'ana tu kauawa halafu unataka tuunge bogi
Unatumia nguvu nyingi sana kuhalalisha kifo hiki. Unafurahia sana kifo/vifo vya aina hii. Ni ama unahusika moja kwa moja au unanufaika. Hujajibu maswali yangu. Aliitwa na mamlaka ya forodha kwenda kuhakiki mali yake, je alienda bila vitambulisho vya majina yake alivyoagizia bidhaa nje ? Hata kama walipora simu haizuii upelelezi. Mamlaka ya mawasiliano unawapelekea namba ya marehemu wanaanzia hapo kuona nani aliwasiliana naye kwa mara ya mwisho. Tangu tarehe 11 Hadi 16 polisi walikuwa wapi.saa zingine ubinafsi na kujiamini kupita kiasi kuna tuponza sana.
unaeezaje hata kumtetea mtu alikua pekee na amepata tatizo pekeeyake akiwa hana kitambulisho chochote.
ndrugu zango,
ni muhimu kujifunza na kusahihisha mienendo yetu kwenye shughuli na kazi zetu hususani tunapotumia vyombo vya moto barabara, huwezi jua kitatokea nini.
unafuatilia mawasiliano yake kuanzia wapi,
huenda aliporwa kila alichokua nacho na walioshuhudia ajali hiyo? nadhani unafahamu wale wenye dhana ya kufa kufaana mtaani, right?
Anyway,
hiyo ni polisi case,
uchunguzi unaendelea na ukweli utabainika tu. Hakuna haja ya kulaumiana π
Ndiyo wangekuwepo wale investigation journalist wangeenda hapo ubungo na kufanya uchunguziNukuu "Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC"
Umewaelewa polisi lkn?, hakuna cha ajali wala nn
natumia maneno kidogo mno kuwapa uelewa na ufahamu wa masula haya gentleman,Unatumia nguvu nyingi sana kuhalalisha kifo hiki. Unafurahia sana kifo/vifo vya aina hii. Ni ama unahusika moja kwa moja au unanufaika. Hujajibu maswali yangu. Aliitwa na mamlaka ya forodha kwenda kuhakiki mali yake, je alienda bila vitambulisho vya majina yake alivyoagizia bidhaa nje ? Hata kama walipora simu haizuii upelelezi. Mamlaka ya mawasiliano unawapelekea namba ya marehemu wanaanzia hapo kuona nani aliwasiliana naye kwa mara ya mwisho. Tangu tarehe 11 Hadi 16 polisi walikuwa wapi.
Akili ya ziada ya wapi,hebu eleza wewe mwenye akili ya ziada ulivyong'amua kuwa kauawa na si ajaliHapo inahitaji akili ya ziada kuelewa kama ameuwawa ama laah bahati mbaya ubongo wako umekomazwa na kusoma majuzuu mpaka ile common sense sio common Tena huwez kulielewa hilo tukio.
Alikua na mkataba wa miaka tisa huko polisi?Jiongeze bhana...
Years interval 2015 hadi 2024
Ina maana polisi walikuwa wanafuatilia tangu kuondoka kwake pale Sinza. AiseeNukuu "Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC"
Umewaelewa polisi lkn?, hakuna cha ajali wala nn
Duuh Hatari na nusuKuna post nimeisoma usk huu ya lema God bless,alikua anajaribu kuandika alichoambiwa juu ya Ulomi. ILe post wakati naisoma ilikua na dk 4 Toka ameipost, ajabu nataka niifungue niendelee kusoma para za chini naona imefutwa ghafla. Na Yale niliyobahatika kusoma inaonesha jamaa alitoka upolisi akahamishiwa kitengo...badae sijui opareshen zao zikawaje jamaa sijui akaropoka kwa wazee wake vitu flan flan sa nikashindwa endelea maana ilifutwa chap. Inaonesha Kuna taarifa alivujisha hawakupenda waka mu eliminate. Hapa naona Kuna story za aliacha upolisi, sijui nilipotezana nae nikaja kumpata akaniambia Yuko USA anasomaπ€.hii week tutasikia mengi kuhusu Ulomi.
Unataka ufafanuliwe kila kitu, akili yako haiwezi kung'amua jambo?...Akili ya ziada ya wapi,hebu eleza wewe mwenye akili ya ziada ulivyong'amua kuwa kauawa na si ajali
Sasa kwanini kauwawa aisehaya mengine kwa kila muombolezaji kusema lake ni jambo la kawaida msibani.
R.I.P ulomi π
Ungeweka na picha tuthibitishe vinginevyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaakwa namna pikipiki yake ilivyoharibika na majeraha alonayo muhusika,
ni wazi ni ajali mbaya sana ya barabarani.
R.I.P Ulomi π
Sawa muuaji.natumia maneno kidogo mno kuwapa uelewa na ufahamu wa masula haya gentleman,
nguvu mie sina,
nina akili, hekima na busara tu katika kuyafanya haya.
usipotoshe wadau tafadhali,
this is police case hakuna mawasiliono ya mtu yanaweza kuwekwa wazi bila idhini au amri ya mahakama.
hata hivyo,
wewe ni afisa forodha uliemuita kuhakiki hizo bidhaa zake? au unambwelambwela tu kinafiki na kujifanya una huruma sanaaaa, kumbe manafiki tu...
si ujitokeze basi,
ili vyomba vya uchunguzi vianzie kwako na kujua mlikua manawasiliana na kuzungumza nini.?
R.I.P. Ulomi, ila kuna wanafiki wengi aise wamejitokeza kupotosha kuhusu kifo chako, dah!π
ni muhimu sana kuzingatia hayo gentleman πSawa muuaji.
So aliacha kazi akajingiza kwenye biashara inaelekea alikuwa na mzigo..Huyu jamaaa alikuwa askari..ila alikuwa ameacha kazi
haina maana yoyote kusambaza picha za alieaga dunia.Ungeweka na picha tuthibitishe vinginevyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
ukipuuza na usipokua muangalifu katika kipindi hiki, unaweza kupata ajali na kupoteza maisha pia.i muhimu sana kuzingatia maelezo mahususi, itakusaiadia..
Sasa kwanini kauwawa aise