Prof.Mruma wa Makinikia ni mshua wako ninThe same implies tu lumumba,...he is a good law lecturer bt not a good advocate.....ukiangalia the man was lecturing na hamna points raised ambazo zimebomoa ngome ya Nasa..iknow umependa anavocheza na hiyo legal language
Sent using Jamii Forums mobile app
Dharau hii mkuu!unamlinganisha PL na tundu? Mungu anakuona![emoji15] [emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
Majinaa yenuu lol
Dharau zipi?Alichofanya PLO ni kudharau tu wenzie pale kwenye court, alishindwa kabisa kupangua hoja za NASA.
Hivi Tanzania wanajifunza nini kwa hii kesi??Huyu professor PLO LUMUMBA, ametumia dakika 30 tu kulegeza msimamo wa NASA na imani ya kwamba wameibiwa kura,
Amefanya hivyo mahakamani ambako kulikuwa na pingamizi la ushindi wa Uhuru Kenyatta,
Swali langu hivi kweli umahiri au uimara wa wanasheria wetu unafikia wa wakenya?
Niwe mkweli kwa ninachokiamini, Tanzania kila jambo limechanganywa na siasa, ndo maana hata weledi Hakuna.
Kwa wanaojua lugha ya kiingereza pitia video hii. Pia uwe na kamusi pembeni maana English ya PLO Lumumba haijawahi acha vichwa salama.
Najua ufipa hawawezi kumkubali kisa anamkubali Magufuli
Lakini pia amemmaliza Raila anayekubaliwa na mtukufu...Najua ufipa hawawezi kumkubali kisa anamkubali Magufuli
Mimi niliona anajitahidi kutumia maneno ya kiingereza ambayo sio common lakina hakujibu hoja za petitioners. Actually Jubilee na IEBC lawyers hawakujibu hoja yoyote ya NASA zaidi ya kutaka kuwadicredit. Even the simple question ambayo mawakili watatu wa respondents walishindwa kujibu. In short in a nutshell baada ya kusikiliza zile proceedings ushindi wa Raila ni very qestionable. Especially baada ya kupata report ya "Read only access". Respondents hawakucomply orders nyingi. The question is why? Kuna anomalies nyingi zilitokea kwenye procedures za uchaguzi. Kuna fomu hazikusainiwa, hazikupigwa stamp, hazikuwa na watermark nk. Why? Hebu sikiliza hizi video mbili.Huyu professor PLO LUMUMBA, ametumia dakika 30 tu kulegeza msimamo wa NASA na imani ya kwamba wameibiwa kura,
Amefanya hivyo mahakamani ambako kulikuwa na pingamizi la ushindi wa Uhuru Kenyatta,
Swali langu hivi kweli umahiri au uimara wa wanasheria wetu unafikia wa wakenya?
Niwe mkweli kwa ninachokiamini, Tanzania kila jambo limechanganywa na siasa, ndo maana hata weledi Hakuna.
Kwa wanaojua lugha ya kiingereza pitia video hii. Pia uwe na kamusi pembeni maana English ya PLO Lumumba haijawahi acha vichwa salama.
Najua ufipa hawawezi kumkubali kisa anamkubali Magufuli
Siyo magumu mkuu ila manaeno ambayo siyo common.Mbona hakusema ya maana sana ila maneno magumu ya kiingereza!
wengine tulifundishwa nadharia hii ya paithograsi darasa la sita (1970s)!hii theorem inafundishwa tangu form 2 mkuu, sema tu basi kwa vile sisi huku kwetu tumekula maharage ya wapi sijui....huwaga tunasifia hata visivyosifika!
Bombastic words! (bombastic meaning, definition, what is bombastic: using long and difficult words, usually to make people think you know more than you do).Siyo magumu mkuu ila manaeno ambayo siyo common.
Yes nilimsikiliza sana. hakuna ukali wa sheria aliousema ni mbwembwe ambazo hazisaidii kushinda kesi
sema hujamuelewa. na shule yako ya kayumbaMbona hakusema ya maana sana ila maneno magumu ya kiingereza!
Matusi sitaki, nakuonya