Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

Siyo mshamba, ni dalili moja kubwa kuwa ni mshamba.
hawa ndiyo vijana wetu wa kiafrica walio Tanzania
akiwaona wazazi wake wanaongea kilugha chao anawachukulia ni washamba
kaaazi kwelikweli....
ndo mana mtu akiongea kingereza huku akibinua midomo yake huonekana wa kileo na wakisasa kuliko yule anayeongea kindengereko .kumbe ni ushamba bhana
kuku mkubwa huitwa wa kizungu wakati kazaliwa singida au handeni
pera/embe kubwa huitwa la kizungu wakati lipo bagamoyo
Inzi yule wa KIBULUU WA CHOONI JE? NAYE TUMUITEJE?
 
Hili la watu/mtu kuongea kilugha kiholela kwenye kadamnasi wakati mwingine anaongea mambo ya kawaida hata mm huwa silipendi, napambana nalo kwelikweli mana sioni umuhimu wake... lakini kwamba kuongea/kujua kilugha ni ushamba hapana
 
Ppppp Ndugu, ukiona mtu anajua kilugha kuwa naye makini sana. Kuna uwezekano mkubwa sana ni mshamba.
 
Nimejaribu kutafuta matusi yote hadi nakuhurumia,

Nkong'wa nzoka.
 
Enda Europe ama Asia uone wengine ata hawajui kuongea kingereza ama kifaransa!!!!
Wanaongea lugha zao ambazo Mungu aliwatungia👌
Sasa nikisalimia jirani kwa lugha yangu na Kama ni mdemz wa kwetu namkatia aniangushie vitu!!! sasa nisimwongeleshe lugha inayomvutia?????😃Nkt
 
Ppppp
Ndugu, ukiona mtu anajua kilugha kuwa naye makini sana. Kuna uwezekano mkubwa sana ni mshamba.
sasa wwe Basi utaita wanao ongea Kiarabu ndio wajulikane ni waislamu washamba???Ama pia China???

Bila kuongea lugha yako asili na watu mnaoelewana kitapotea kabisa👌na watu wao utapatana nao uko inje pengine kwa daladala pia Labda ni mtu hujai mwona siku tatu!!lazima umgotee na lugha yenu!
 
Inakuwa mbaya kama uko na Watu wa Kabila tofauti wakaongea Lugha ambayo huielewi.
 
Mi naongea sana kilugha; yaani hata kule mjini katikati kabisa Kariakooi, naongea kilugha nikiwa maeneo hayo, tena kwa sauti ya juu kabisa ili na wengine wasikie. Ila hata kusoma na kuandika ninajua pia
 
Swali kwako wewe kibuyu

Waingereza wana lugha yao ,kwa hiyo nao niwashamba .

Leo Kuna memba kaweka bandiko

Hawa new come wa Jamii forum wanatuzalilisha Wazee, kama hii ndilo greatly thinker Ametoa nayeye

Akina Mshana Jr wanawaona mazombi wamevamia Jamii forum
 
Enywanoko yeneye ekoyombaga ginehe,olenchilochilo,tombina ebhe,ntwe goko gokolile shagembe,okoching'waga na dongo
 
mleta mada kama haubanduliwi dah utakua unatundu mbili moja ya mavi moya ya mkojo na kupizi
 
Embu msituletee upumbavu wenu mwenyewe ndio definition ya ushamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…