Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
hawa ndiyo vijana wetu wa kiafrica walio TanzaniaSiyo mshamba, ni dalili moja kubwa kuwa ni mshamba.
Hili la watu/mtu kuongea kilugha kiholela kwenye kadamnasi wakati mwingine anaongea mambo ya kawaida hata mm huwa silipendi, napambana nalo kwelikweli mana sioni umuhimu wake... lakini kwamba kuongea/kujua kilugha ni ushamba hapanaMantiki ya hoja yako ni nzuri, isipokuwa haukudadavua kuivisha makoti hoja hii.
Ni kujua kuongea kilugha au kuongea kilugha kwenye kadamnasi kamchanganyikeni?
Ushamba wa kujua kilugha bila matumizi hokela unatokea wapi hapo sasa?
Kujua kilugha pekee hakihusiani na ujinga wa mtu kuongea kilugha kwenye kadamnasi kipumbafpumbaf.
PppppEnda Saudi uone venye wakikoroga kiarabu mpaka kwa vyuo!!!
Mtu Kama WWE ndio mashamba,ata Labda unaumwa ukiona wengine wakiwa rahazao wakikoroga lugha zao!!!
Watu Kama WWE ndio mnasababishaga watoto wenu wapoteze lugha na majina zao mnatumia Kiarabu😭and you very proud😂😂
Ndugu, ukiona mtu anajua kilugha kuwa naye makini sana. Kuna uwezekano mkubwa sana ni mshamba.hawa ndiyo vijana wetu wa kiafrica walio Tanzania
akiwaona wazazi wake wanaongea kilugha chao anawachukulia ni washamba
kaaazi kwelikweli....
ndo mana mtu akiongea kingereza huku akibinua midomo yake huonekana wa kileo na wakisasa kuliko yule anayeongea kindengereko .kumbe ni ushamba bhana
kuku mkubwa huitwa wa kizungu wakati kazaliwa singida au handeni
pera/embe kubwa huitwa la kizungu wakati lipo bagamoyo
Inzi yule wa KIBULUU WA CHOONI JE? NAYE TUMUITEJE?
Nimejaribu kutafuta matusi yote hadi nakuhurumia,Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.
Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.
Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
sasa wwe Basi utaita wanao ongea Kiarabu ndio wajulikane ni waislamu washamba???Ama pia China???Ppppp
Ndugu, ukiona mtu anajua kilugha kuwa naye makini sana. Kuna uwezekano mkubwa sana ni mshamba.
Mi naongea sana kilugha; yaani hata kule mjini katikati kabisa Kariakooi, naongea kilugha nikiwa maeneo hayo, tena kwa sauti ya juu kabisa ili na wengine wasikie. Ila hata kusoma na kuandika ninajua piaTudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.
Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.
Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Swali kwako wewe kibuyuTudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.
Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.
Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
kwasababu wwe huongeagi Kiarabu ya Waarabu???kwanza nyie waislamu mumebadilisha mpaka majina za mababu wenu!cheki jina yakoMtoa mada anayo hoja asipuuzwe.
Huyo Nyerere mbona alikuwa hodari kwenye Ngelee??? Kwanini asingefanya kama Putin???Slaverly of the mind.
Wazungu walishafukuzwa kitambo na nyerere ila wamebaki kukutawala kichwani mwako
Dalili ya mtu mjanja au mwenye shule.Lakini kuongea kiingereza ndio dalili ya mjanja sio?