Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unapaswa kutii agizo ili usifanane na nyuma mwiko wanaopokea wageni.Imagine ni mwanasheria tena PhD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapaswa kutii agizo ili usifanane na nyuma mwiko wanaopokea wageni.Imagine ni mwanasheria tena PhD
Huyu hata kwenye kubeti atataka kuwalazimisha watu upande wa kubeti.Imagine ni mwanasheria tena PhD
Imagine washabiki wa Mamelodi wanakuja kuishangilia timu yao, halafu wanajikuta wanaulizwa passport uwanjani kwa sababu ya jezi walizovaa.Nikivaa jezi yangu ya Manchester United nitaulizwa passport ya UK!
Halafu anasema ni 'Uzalendo''. Tuna viongozi wa ajabu sana, uzalendo haubambikizwi ni 'itikadi ya mtu kwa taifa lake'Imagine washabiki wa Mamelodi wanakuja kuishangilia timu yao, halafu wanajikuta wanaulizwa passport uwanjani kwa sababu ya jezi walizovaa.
Wakirudi kwao lazima tuwekwe kwenye vituko vya dunia.
Huwa tunamuonea sana Idi Amin kwa kumfanya kuwa alikuwa dikteta wa ajabu saana, wakati tuna viongozi wengi ukiwaweka katika mizani ya cross multiplication ya muda, elimu, nafasi, wanavyojimwambafy unajiuliza "huyu angekuwa na mazingira kama ya Idi Amin kweli asingekuwa Idi Amin wetu huyu?"Halafu anasema ni 'Uzalendo''. Tuna viongozi wa ajabu sana, uzalendo haubambikizwi ni 'itikadi ya mtu kwa taifa lake'
Kuwa mshabiki wa Yanga au Simba si uhaini wa nchi. Timu hizi zimekuwa na upinzani kwa miaka dahari
Upinzani wa Simba na Yanga ndio umezijenga katika ukanda wa A.Mashariki. Zama hizo Simba na Yanga wakicheza A.Mashiriki inazizima, ni kwasababu ya upinzani lakini haina maana ni kukosa Uzalendo.
Sioni tatizo kabisa ! nadhani tatizo wanalikuza tu. Nitavaa jezi yangu ya Man U.
Kwa kweli Serikali ya CCM haijawahi kuwa na viongozi wa maana zaidi ya Magufuli na Sokoine na kwa mbali Lowassa, huyu mtu inabidi akamatwe atiwe ndani kuongea ujinga wa namna hii.Ukija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?
Kuna baadhi ya vitu mpaka unashangaa, utafikiri hii ni vita nchi yako inapigana na nchi jirani ambayo uzalendo ni lazima kwa maslahi ya TaifaHakuan sheria inayosema ukiwa mtanzania basi ni lazima u-support Yanga au Simba. Huyo aliyesema hilo ni mpumbavu wa mwisho. Hivyo ni vilabu vya mpira na vina wachezaji kutoka nchi mbalimbali. Wamefikia kwenye udiktekta mpaka wanaamuru watu washangile timu ipi? Watanzania tungukuwa watu tunaojitambua, tungesusia kabisa kwenda mpirani siku hiyo ili liwe somo.
Huu sio utaratibu ni kuingilia maamuzi ya mtu binafsi, na sio kosa kisheria una haki ya kushabikia timu yoyoteKila nchi ina utaratibu wake. Na utaratibu wa Tanzania ndiyo huo, so ni lazima kuufuata.
Ova
Wanazunguka mbuyu Tu wangemtaja Injinia Hersi na Manara waache tungemwelewa.😁Mbona kama wana hofu sana kipindi hiki? Kipindi chote depotivo de utopolo walivyokua wanavaa mpk raisi wao walikua hawaoni??
Sio kushabikia Tu Hadi kuwapokea. Mpira WA Tanzania umeharibika Sana. Uzuri WAASISI WA uharibifu huo wako kwenye timu yako pendwa.😂😂B... Mi hili suala naunga mkono 100% tena tumechelewa sana. Tumekuwa kama wendawazimu kushangilia wageni.
Sawa, utani upo tutaniane (kama mimi ile siku ya Wydad japo najutaga sana) ila sio katika kiwango tulichofikia cha kuujaza uwanja kushangilia wageni.
Watakaokiuka wageuzwe mfano, na iwe serious maana nchi yetu hii utekelezaji sifuri.
Safi sana, Makolo Madunduka ushamba na hasadi umewazidi.Ukija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?
Kilichokatazwa ni jersey mengine RUKHSA.Kwani Hili.swala la.kupangiana Vitu vya kupenda si liko kinyume na Katiba yenu ya Tanzania..
Sasa Kama mimi ni mamelody utanilazimisha nishabikie Yanga
Itapendaza ukiwa mfano kwa wengineAache kututisha, kwani nchi ya kwake? Hii sio nchi ya kidikteta.
Nitavaa yangu ya Mamelod-Ubuntu Botho halafu aniguse mtu!