Moja ya biasharaza kalze zaidi duniani,ni biashara iliyopo nchi zote duniani na miji,vitongoji vyote duniani,ukahaba ni ubinadamu na ubinadamu ni ukahaba, haviachani kama hutaki shauri yako,ni asili hebu jiulize kuna mtu alikufundisha jinsi ya kunyunduana? jibu ni hapana bali ni asili ya viumbe hai.Ukahaba ni worldwide na sababu sio kuishi sinza au magomeni.
Ni biashara ambayo haitakuja kuisha labda yesu arudi.
Serikali ihalishe kuwe na maeneo special ili kuepuka kufanyika kwenye makazi ya watu. Huku kujifanya mnafata maadili ndo watu wanafanyia popote pale.
Oya niunge basi...Wewe jamaa uko nyuma ya wakati sana sana... Ukiyaona ya mitandaoni ndiyo utastaajabu mara 1000.
View attachment 2314045
Basi wapewe haki yao, wapewe utaratibu maalum😀Moja ya biasharaza kalze zaidi duniani,ni biashara iliyopo nchi zote duniani na miji,vitongoji vyote duniani,ukahaba ni ubinadamu na ubinadamu ni ukahaba, haviachani kama hutaki shauri yako,ni asili hebu jiulize kuna mtu alikufundisha jinsi ya kunyunduana? jibu ni hapana bali ni asili ya viumbe hai.
😝😝😝😝 kwa tunaopajua tunasikitika tu usoni huku tukifurahi kimoyomoyoImagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu
Mwenyekiti na diwani wanunua mizigoHao wasimamizi wenyewe ndio watakuwa watumiaji mizigo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ungekuwa mwanaume ungeelewa kwa nini tunawanunua na kwa nini hatuwaoiAcheni kuwanunua, wachukueni mkae nao ndani muendeshe maisha
Waoeni kabisaaa
Achana naye once snitch is always a snitchAcha unoko braza unataka madomo zege tupige nyeto au tubake
Aisee huko napitaga nikiendaga kwa msumiMbezi mwisho njia panda ya Goba, ulizia kwa God
Roho MubayaWakuu
Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro
Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu
Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba
Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu
Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu
Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Huenda hapo ndio makazi yake ya kudumu halafu unamuambia ahame?Watu wa Dar ni walalamishi sana....hasa mnaokaa uswahilini kama wewe. Achana na maisha ya watu...ukiona hapakufai hapo hama kulinda maadili ya familia yako,otherwise huna utakalo saidia zaidi ya porojo.
AU
Umetoka zako mkoani umefika dar,unawapelekea sheria zako za kitemi!!!! Mji mkubwa huo utakushinda.
Ungekuwa mwanaume ungeelewa kwa nini tunawanunua na kwa nini hatuwaoi
Unadhani wanaohama ni wapangaji tuu???Huenda hapo ndio makazi yake ya kudumu halafu unamuambia ahame?
Sio watu wote 'wameandiwa' kupanga hadi wafe kama wewe!