Ungekuwepo hapo ungefanya nini!? Tupe mbinu.Simba mmoja anavamia kundi kuuuuubwa la nyumbu takribani nyumbu 600 anajichagulia mmoja wengine 559 wanasimama pembeni na kushuhudia mwenzao akitafunwa.
Ukiacha kesi ya ulimboka wakati wa jk nani mwingine alitekwa?Hii ni aina au mtindo wa CCM wa kutawala, wala haihusiani na kiongozi aliyeko madarakani....kumbuka Dr. ULIMBOKA.
Hiki chama kinatuharibia nchi.
Daaaa kisasi ?? Kazi ipoooMsiba wa mzee kibao mbele ya waziri wa masauni alianzisha wimbo fulani
Kabisa. Huyu hamna kitu. Sema nahisi haya mambo hayabariki ( maana kama ACT SI mtoto wa CCM) ila Kuna watu inside people sana sana wa chama chake Cha majambazi ambao hawamtaki na wanashirikiana na genge la utekaji ambalo lilianzishwa na mwendazake ili kumdiscredit huyu Maza...Mzee Hafizi aje amchukue mke wake.
..uongozi umemshinda, arudi kwao kupika urojo.
CCM yas 😂😂😂😂😂🐼Ccmyas inapenda tuendelee kuwa wachuuzi
Hizo pingu ziko wapi?Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu🥺🥺🥺
Mambo ya kishamba kabisaKatika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu🥺🥺🥺
Defenders lazima zije hapo kutafuta pinguKatika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu🥺🥺🥺
Bahati mbaya kwasasa wanalindwa na Sheria kabisaWanaoteka na kuuwa wanafanya hivyo nje ya mifumo ya kisheria. Kwahiyo hawataki kufuata taratibu za kisheria
Dah na RC ni Kada wa CCM tuIGP ni mtu mdogo sana, labda useme CDF. Lkn IGP, huwa anatumwa na RC tu.