Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..Mzee Hafizi aje amchukue mke wake.

..uongozi umemshinda, arudi kwao kupika urojo.
Kabisa. Huyu hamna kitu. Sema nahisi haya mambo hayabariki ( maana kama ACT SI mtoto wa CCM) ila Kuna watu inside people sana sana wa chama chake Cha majambazi ambao hawamtaki na wanashirikiana na genge la utekaji ambalo lilianzishwa na mwendazake ili kumdiscredit huyu Maza.
Yeye ni kusafiri TU, safari TU ila mambo kama haya yanayotokea hawaezi kuyadhibiti kabisa.

We are slowly turning into Nazi German and or, North Korea and people are watching. Hawa watekaji wanaendelea kupata nguvu na confidence na soon huyu mama asipoangalia nchi ITAKUWA kama HAITI hii....
 
Hii tabia inaota mizizi kama utani tu itafikisha hili taifa pabaya within no time, tuendelee kuishi tu kama nyumbu simba anakuja kujichagulia mnono tu na kumbeba! Hamna aliye salama hata anayeteka leo atatekwa tu baadaye tabia ikishakomaa! The Rule of jungle
 
Back
Top Bottom