Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Well said member. Ndio maana naendelea kumshangaa huyu Bwana Mshana Jr kwa kutetea unyama huu tena kwa makala zake ndefu.
katoa boko yaani anashabikia kutoa uhai wa mtu? hapana aisee napingana na kila aina hili maumivu ya mapenz yapo yanapita na hata huyo dem sio kwamba huyo marehem ndio alikuwa jamaa yake wa kwanza hiyo ngumu sana kwa vizaz vya sasa kuna watu wamefungua njia hapo
 
Reactions: BRB
Aisee sikia moto kwa mwenzio ila usikupate, fahamu tu hata ile hewa ukiivuta tu inatosha kutoa uhai.
itakuwa pombe mkuu jamaa alilewa sana kwa umr ule mlango angetoka nao labda kama nje kulikuwa na geti la chuma ya kuchomea
 
Sikilizia povuuu la wanaume humu sasa[emoji1787][emoji1787][emoji14]

Wanawake sasa wameamka, huu ndo uanamke wa shoka, sio kuja kulia lia humu sijui napigwa, sijui nanyanyaswa! Piga petrol[emoji16][emoji16]
wameamka kwa kuua? hata mwanaume kuua mwanamke ni ujinga unapambania mtu ambae hakupendi jamani huu si ujinga? ukishagundua mtu hakupend tafuta njia nyingine utayopata pumziko sasa anateseka maisha yake yote jela na roho ya kuua inamuandama
 
Watu wanachukulia vitu tofauti. Moyo wako ulivyoumbwa ni tofauti na mwingine. Mioyo ya wengine hadi ilipe visasi ndio inatulia. Binafsi nikiumizwa ninavyozidi kulia ndo nautoa uchungu mwisho uchungu unaisha wote mwishowake nasahau
 
Jamaa kakamatika kizembe sana,ila hakutegemea.

Hela yenyewe huyu mwanamke alipokea ya mchezo kutoka kwa wapika supu wenzake tuliwahoji wakasema hivyo.
Hisia za kusalitiwa ➡️ Kikundi cha wauza supu ➡️ hela ya mchezo ➡️ Mauwaji ➡️ jela

Kuna mambo mengi sana yanajificha kwa huyu killer, haiwezekani ikawa kirahisi hivo
 
itakuwa pombe mkuu jamaa alilewa sana kwa umr ule mlango angetoka nao labda kama nje kulikuwa na geti la chuma ya kuchomea
Mkuu kama nyumba ilikua na mlango wa grill aisee kutoka nao sahau, alafu pia nadhani alikua tungi
 
kibiashara wako vizuri, lakini wana roho za mafarakano, chuki, ulipaji visasi na ukatili =UPALESTINA
 
Reactions: BRB
Hamiwezi jua alipitia mateso kiasi gani hadi kufanya hivyo. Kuna wanaume wanajua kutesa wanawake kisaikolojia hadi ujiulize kama alizaliwa au aliokotwa
Mwanamke siaende kwao kuliko kuozea jela
 
kumbe unamjua?? mwenye picha ya Zungu waiweke
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] mkuu tulia kwanza...ya magunia imexpire hiyo

Habari ya mjini ni petrol

Jokes aside....ukiona mpaka mwanamke kafikia hatua hiyo ujue yalimfika hapaa, huwa sisi ni wavumilivu sana sana
kuvumilia mume kucheat au?
 
Zungu alikuwa ana miaka mingapi?
 
mabibi wa kabila gani mbona sijawahi sikia
 
duu!!! ilikuwa saa ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…