Dar: Askari polisi auawa baa ya Kitambaa Cheupe, njia panda ya Nzasa, usiku wa kuamkia 6.10.2024

Wapi nilipo jitambulisha kama msemaji wa jeshi la polisi!? Achaa kunilisha maneno, mimi nimesema tunataka code,haya wapi nimekwambia naongea kama msemaji wa jeshi la polisi!!??
Unataka code uzifanyie nini, kama sio mmoja ya wanaochunguza tukio hilo,

Tena unajipa mamlaka ya kusema kama hajawapa hizo code mnaachana na hilo suala,
Wapi nilipo jitambulisha kama msemaji wa jeshi la polisi!? Achaa kunilisha maneno, mimi nimesema tunataka code,haya wapi nimekwambia naongea kama msemaji wa jeshi la polisi!!??
 
Sijui kwa nini akifa police Bongo huwa watu wanafurahi!
 
Mmmh kabla ya kuandika uwe unauliza details na namna ya kuandika vzur mara PC,baranaba mara askar wa jwtz ,iweje jwtz iwe tea police constable?
 
Hizo ni drama tu za polisi kuigiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…