mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Wamechukua roho.Wauaji hawakuchukua chochote zaidi ya kumtoa roho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamechukua roho.Wauaji hawakuchukua chochote zaidi ya kumtoa roho
Ulikomferm kuwa chanzo ni Malaya?Usimletee Malaya ubabe haangalii cheo cheo kazini kwako (nimesema sijamaanisha) cheo chako usikipeleke bar usikipeleke kwa Malaya Malaya analiwa na kila mtu ukishamla mlipe usimfanyie ubabe atakuitia wababe wakumalize
Nimegundua jamii.forums kuna wagonjwa wengi wenye shida ya afya ya akili. Mtu anaweza kukutukana tu bila.sababu. sasa sjui ni ufukara umezidi kiwango au vyote kwa pamoja ufukara na afya ya akili imepata shidaMkuu mbona umemtusi mwenzio hivyo kosa lake ni nini?
Tumsubirie kamanda muliro alitole tamkoo hicho kisaSi alileta undava🤣 wa kuleta cheo bar, wahuni wakaishi nae
Ni mtu Alie poteza uelekeo wa Maisha yaan kwa kifupi Hana Cha kupoteza " ni kukata tamaa kwa kiwango chajuu kiasi kwamba unakua na moyo ulio kufa ganzi" yaan unakua huna Cha kupoteza Wala kukuhuzunishacKu
Kukata ringi ndio nini??
Kwa hiyo hapa na wwe unajibu kama msemaji wa CDM!!??Unataka code uzifanyie nini, kama sio mmoja ya wanaochunguza tukio hilo,
Tena unajipa mamlaka ya kusema kama hajawapa hizo code mnaachana na hilo suala,
Hivi kama mtu siyo muhalifu kwa nini ukatae kushirikiana na jeshi la polisi kwa kuwapa kitu wanacho kiomba,tena kiko kwenye uwezo wako!? Hata ukiona Mume/Mke kamuwekea mwenzie code ujuwe kuna uhalifu ndani ya ndoa unaendelea!!Hakuna Cha code. Polisi inahusika na mauaji.
Nyie ndiyo mnanilazimisha kua mi ni msemaji wa jeshi la polisi, ndiyo maana nauliza ni wapi nimejitambulisha kua mi ni msemaji wa jeshi la polisi!? Msinilishe maneno,naomba mjikite kwenye mada iliyopo mezani tu!! Alafu kumbe kua msemaji wa jeshi la polisi ni kua na ujiko!!?basi mi nilikua sijui hilo, asante kwa kuniambia!!Huna lolote. Kujipa ujiko usiokuwa nao
upelelezi umeanza.Ndio ile Kitambaa Cheupe ya Mbagala?
Bad mindsethakuwa na mtoto!
Historia yake binafsi imefutika vibaya sana
Comment zaidi ya 200 hakuna aliyesema R.I.PSijui kwa nini akifa police Bongo huwa watu wanafurahi!
Nimeweza hivyo hivyo. Maana hii fedheha ya kina Muliro imekuwa too much ukilaza sasaKama wameanza kuajiri Div 1, tunaelekea kuzuri.
Huenda akatwambia chanzo cha Kifo kama ni wivu wa kimapenzi, madeni, au walidhurumiana au vinginevyoTumsubirie kamanda muliro alitole tamkoo hicho kisa
Ova