👍👍Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"...
Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"...
Kafie mbali na mawazo ya kichademaKiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"....i
Uko mkoani ndani ndani hukoFuta takataka hizo ulizoandika
Suresio mpaka awe RC hapo Daslamu
aende kule Mtwara nao wanahitaji ubunifu wake
Unaumwa wewe siyo bureKiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"
kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa
Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji
ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
Labda Dsm ya koromijeKiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"
kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa
Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji
ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
Hongera sana mkuu kwa ushauri mzuriKiki sio ndo kufanya kazi, mwambie huyo mjinga akalime matikiti
Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"
kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa
Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji
ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
Mwisho niweke namba ili iwajeTitle yako imepwaya
Ilipaswa ufanye comparison kidogo
Isomeke: Jiji la Dar linamuhitaji Makonda kuliko Makonda anavyolihitaji Jiji hilo.
Kisha mwishoni unaweka namba za simu wala jina lako usiliandike
Hizi namba zinasaidia sana for future and office use
Mkuu huwezi kujua hii dunia ni ya Mungu vitu ni vya hao jamaa
Asante