Dar es Salaam bado inamuhitaji Paul Makonda sana

Dar es Salaam bado inamuhitaji Paul Makonda sana

Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"

Kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa

Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji

ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
Yaani mahaba yako kwa Bashite ndio utake kuyafanya kuwa msimamo wa wana Dar?

Mfate huko kwake usilete ujinga hapa.
 
Du ndio kabisa atachelewa kukumbukwa katika teuzi mpya. Magufuli hachaguliwi,kuna watu walisema Dr.Kimei atakuwa full minister wa finance,mara vuu kamrudisha Dr Mpango.
 
.
IMG-20201116-WA0016.jpg
 
Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"

Kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa

Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji

ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
Kii Ujumla KondaBoy bado anahitajika sana kwenye Serekali ya Magufuli,ili awaakimbize na kuwavuruga wale Viongozi wazembe! Maana Dogo alinivurugia wale wa Bunge Dodoma, mpaka nikacheka mwenyewe kwenye ule mnyukano!!
 
Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"

Kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa

Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji

ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
Mpeleke nyumbani kwenu
 
Mh. Paul Makonda bado tunakukubali kwa uongozi uliotukuka tutafurahi sana siku ukipewa nafasi tena kutuongoza watanzania.

Makonda wewe ni kiongozi kijana lakini ni shupavu.

Wewe ni kiongozi kijana lakini ni jasiri.

Wewe ni kiongozi kijana lakini una convincing power.

Hongera Mh. Makonda, karibu tena utuongoze watanzania.
 
Mh. Paul Makonda bado tunakukubali kwa uongozi uliotukuka tutafurahi sana siku ukipewa nafasi tena kutuongoza watanzania.

Makonda wewe ni kiongozi kijana lakini ni shupavu.

Wewe ni kiongozi kijana lakini ni jasiri.

Wewe ni kiongozi kijana lakini una convincing power.

Hongera Mh. Makonda, karibu tena utuongoze watanzania.
Kama unamkumbuka mwite aje aongoze familia yako na ukoo wenu!
 
Mh. Paul Makonda bado tunakukubali kwa uongozi uliotukuka tutafurahi sana siku ukipewa nafasi tena kutuongoza watanzania.

Makonda wewe ni kiongozi kijana lakini ni shupavu.

Wewe ni kiongozi kijana lakini ni jasiri.

Wewe ni kiongozi kijana lakini una convincing power.

Hongera Mh. Makonda, karibu tena utuongoze watanzania.
 
Mh. Paul Makonda bado tunakukubali kwa uongozi uliotukuka tutafurahi sana siku ukipewa nafasi tena kutuongoza watanzania.

Makonda wewe ni kiongozi kijana lakini ni shupavu.

Wewe ni kiongozi kijana lakini ni jasiri.

Wewe ni kiongozi kijana lakini una convincing power.

Hongera Mh. Makonda, karibu tena utuongoze watanzania.
Mnamkubali wewe na nani? Sijemee nafsi yako, usitumie uwingi wakati huna uhakika na hao unaofikiri wanamkubali ni wangapi, ni watu wa aina gani na wako wapi?
 
Mh. Paul Makonda bado tunakukubali kwa uongozi uliotukuka tutafurahi sana siku ukipewa nafasi tena kutuongoza watanzania.

Makonda wewe ni kiongozi kijana lakini ni shupavu.

Wewe ni kiongozi kijana lakini ni jasiri.

Wewe ni kiongozi kijana lakini una convincing power.

Hongera Mh. Makonda, karibu tena utuongoze watanzania.
Aaaaa wewe, yule makonda mtoa roho za watu kwa lazima, kabla ya Israel sign! Makonda hapana
 
Mh. Paul Makonda bado tunakukubali kwa uongozi uliotukuka tutafurahi sana siku ukipewa nafasi tena kutuongoza watanzania.

Makonda wewe ni kiongozi kijana lakini ni shupavu.

Wewe ni kiongozi kijana lakini ni jasiri.

Wewe ni kiongozi kijana lakini una convincing power.

Hongera Mh. Makonda, karibu tena utuongoze watanzania.
Si ndio huyu? Ze presidential matirio himself!!! Ameanza kuchanganyikiwa

IMG-20210529-WA0084.jpg
 
Back
Top Bottom