Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

Sema na kuishi mbali sana jau,
Hapo mkuu kama hio ratiba ni kweli nakuonea huruma,

Sometimes tunakimbilia viwanja vya bei rahisi ila mara mia ulipe pesa kubwa upate sehemu nzuri sio kujificha huko porini.
Una hoja mkuu, ila jiji linakua hili kuna kipindi pori litatoweka jijini
 
pole chief
 
sasa mkuu huko Kimara na Maramba si ni yale yale tu, bora useme Keko, Chang'ombe, Magomeni, Kinondoni, Manzese nk.

Lakini pia mkuu, hakuna anayependa kuishi Kibaha ndanindani, umasikini mkuu, jamii ya kubwa ya Watanzania ni masikini.
Vipi anaekaa Bunju halafu anafanyia kazi kariakoo au posta?
 
Dar hii wapi watu wana maeneo makubwa? Viwanja vyetu ni hivi hivi 400sqm -700sqm,

Halafu kama una madeal mengi huko kibaha basi utakuwa huna haja ya kulalama nauli
Huyu mwamba kama ameamua kukaa mashambani sijui kwa nini analalamika! Nilitegemea aseme anaziba mapengo mengine kwa kulima ili mahitaji mengine yatoke shambani. Kama mke hana kazi kwa nini anamwacha afuge tako tu badala ya kulima mazao madogo madogo hapo nyumbani? Ni aibu familia iko Kibaha inashindwa hata kuweka mchicha!
 
Mzee kituo Gani cha polisi nikanunue boda boda
Vituo vyote vikubwa vya polish unavyovijua wewe kwa hapa dar au nje y dar wanauza pikipiki.

Kwa kuorodhesha.
Polisi kiluvya gogoni
Polisi stakishari
Polisi ostebay
Polisi central
Polisi kibaha
Polisi buguruni
Polisi mabatini K/nyama
Polisi Tazara hapo ndiyo Kama sagulani

NB: Kuna kuwaga na minada na unaweza kununua nje ya minada.
HAKUNA boda ambayo utauziwa M.

Kumbuka.
Hizi boda zinazouzwa polisi ni zile ambazo zimekamatwa kwenye matukio ya ki uhalifu na wahusika wamekimbia/wametelekeza vyombo vyao.
Au zile ambazo zilipata ajali na wenye Nazo wamezitelekeza.
 
JF kila mtu matawi..et natumia 15k kwenda kazini na kurudi mara chache dalaladala huwa natumia daladala..humu mnatupanga sana kama una uwezo wa kutumia 15k unalalamika nini hiyo nauli? Au ndo kipato chako laki 2.5 unajifanya unasemea wengine?
Hizi ndio roho za kimasikini za wabongo tunazozisema kila siku yani ukipiga hesabu ya matumizi ya mtoa mada kwa haraka haraka ni kama 1M kwa mwezi, je vipi kama mshahara wake ni 1.2M huo ni mshahara wa kawaida sana watu wengi tu humu maofisini wanalipwa hiyo, sasa sijui wewe mwenzetu ulijua huo mshahara ni mkubwa sana na wanaolipwa ni wachache au ulijua wanaotumia jf wote ni masikini sana
 
Hili suala wengi hawazingatii, wewe unalipwa laki tatu halafu unakaa kilomita 45-50 mbali na kazini utakuwa maskini mpaka uzeeni... kaa mbali kama una usafiri wako nje ya hapo unazingua
Ukiwa na usafiri wako ndo nafuu au unazidisha gharama?
 
Mkuu,
Niwie radhi hii comment yako sikuiona. Kweli kupanga ni kichagua!![emoji120]
 
Sema na kuishi mbali sana jau,
Hapo mkuu kama hio ratiba ni kweli nakuonea huruma,

Sometimes tunakimbilia viwanja vya bei rahisi ila mara mia ulipe pesa kubwa upate sehemu nzuri sio kujificha huko porini.
Ahamie eneo karibu na kazini mbona kama Dar vyumba bei rahisi viko kibao sehemu ambayo unapanda basi moja tu
 
Hili suala wengi hawazingatii, wewe unalipwa laki tatu halafu unakaa kilomita 45-50 mbali na kazini utakuwa maskini mpaka uzeeni... kaa mbali kama una usafiri wako nje ya hapo unazingua
Wengine shida ujuaji mwingi anataka lazima ajenge
Badala ya angepanga nyumba bei rahisi angebaki Hadi na chenji na kwenda na kurudi kazini akiwa na furaha
 
Kwahyo umeona mfano wako uuweke kwa mfipa tu mkuu unatuonaje wa kwa mfipa?? [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…