Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Kwani hujui kuwa huo ni ugonjwa mpya wa akili?Mbona unatuwekea mkeka wa mechi za uholanzi mkuu, au umepotea njia?
Vv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hujui kuwa huo ni ugonjwa mpya wa akili?Mbona unatuwekea mkeka wa mechi za uholanzi mkuu, au umepotea njia?
Tuna vikongwe humu ndani 😂😂😂Kumbe ushazeeka
Kuna mkuu mmoja alikuwa anazungumzia mazingira. Nikamwambia watu walienda kwa macheni sio kwamba hakukuwa na baa nyingine safi na zenye huduma ya vinywaji kama macheni. Bali wengi walienda pale kwa mipango na madili mbali mbali.Umenikumbusha mbali kweli kila zama na kitabu chake. Nakumbuka Defao aliliwa tako sana mitaa hiyo back in the days na watoto wa mjini.
Watoto wote wa mjini "misheni town" walikuwa wanakutania hapo kula bata na kupanga dili zao iwe poda, ujambazi, wizi wa kalamu n.k.
Kwa madogo wa juzi nawafahamisha kwamba buku 1000/= ilikuwa ni hela na malaya wanakugombania. 😁
Macheni kafariki kitambo kidogo. Takriban miaka 7 hivi iliyopita.Nasikia kadead majuzi huyo Husein macheni
Elf3 enzi hizo unapewa hadi jicho mkuu. Kama sio mtumiaji wa jicho basi unapewa ofa ya kunyonya titi kuanzia mwanzo hadi mwisho wa game.Hahahah, na enzi hizo...alooooh mlienjoy maisha...buku tu, je aftatu??
Amna amefariki kitambo mkuu. Toka mwaka 2016.Macheni mwenyewe kavuta hata wiki haijaisha
Swadakta kabisa mkuu.Sikuw mtu wa kipiga ulabu ila nilikuwa nakwenda pale kuangalia shoo za wacheza miziki.....pale ndo kuliasisi haya mambo ya shoo kwenye mabaa ili kuwaburudisha walevi .......kipindi hicho haikuwa tabu kiwakuta pale wasanii wengi wakitoa burudani kw malipo ya bia au kupewa demu wa kumzagamua bila malipo
Isingekuwa rahisi kurudi kwenye game, maana alikuwa ashapoteza muelekeo kabisa.Mola ampe mapumziko na malipo stahiki.....baada ya pale alihamia pale kwa ashura kinondoni na alijitahidi kutaka kujirudisha kwenye game lkn ikashindikana
Sifa mbona zishaelezwa nyingi tu humu mkuu.Tupe sifa angalau chache mzee
Kuna mkuu mmoja alikuwa anazungumzia mazingira. Nikamwambia watu walienda kwa macheni sio kwamba hakukuwa na baa nyingine safi na zenye huduma ya vinywaji kama macheni. Bali wengi walienda pale kwa mipango na madili mbali mbali.
Ile ndo ilikuwa sehemu maarufu kwa mission town wote.
Amna mkuu, familia kaiacha katika mazingira ya kawaida tu. Kifupi hakuwa ameandaa mazingira mazuri kwa ajili ya baadae.Dah aise ila si alijipanga sana yaani biashara zingine alikua anazo familia kaiacha vizuri?
Hivo hivo wala haujakosea mkuu.Niishie kusema tu kila zama na kitabu chake,
Kwa macheni kitu gani, Unaijua maggot bar wewe?Habari zenu wana JF wenzangu.
Hivi ni Bar au maeneo gani ya starehe yanaweza kufikia sifa ilizokuwa nazo Bar ya Macheni enzi zake.
Hii Bar enzi za Prime Time yake iliweza kujibebea umaarufu hadi nje ya mipaka ya nchi yetu achilia mbali maeneo na mikoa mbali mbali ya Tanzania.
Mwaka 2003 wakati nipo ndani ya basi kutoka Lusaka kuelekea Harare nilikutana na mzambia fulani ambae tuliongea mengi kati ya tulioongea nilishangaa kuona jamaa aliifahamu hadi macheni Baa na alisema kwamba siku atakayofanikiwa kukanyaga Tanzania atajitahidi kufika katika Bar hiyo ili kujionea mwenyewe kwa macho yake yale yote aliyokuwa anahadithiwa na wazambia wenzake waliobahatika kukanyaga Dar na kwenda kula bata katika Bar hiyo.
Lakini pia nishakutana na watu kutoka katika nchi zingine za Congo, Burundi, Namibia na Kenya wakiizungumzia Bar hiyo kwa jinsi ilivyokuwa na mvuto kwa watu mbali mbali kutoka mataifa mbali mbali.
Sasa toka Bar hiyo ya macheni ilipoanguka sijawahi kusikia Bar zingine zenye sifa kubwa kama hiyo.
Je wewe ushawahi kuisikia nyingine yenye sifa zinazofanana na zile zile za kwa macheni? Kama ipo ni ipi? Najua kuna Bar na maeneo mengi yenye sifa na mvuto wa kiwango fulani ila sio kufikia viwango vya Bar ya Macheni.
Nyinyi au wewe unaonaje?
Karibuni tujadili.
Ndo hivyo mkuu ilikuwa bata batani. Alipiga hela na yeye akapigwa hela.Vipi familia kaiacha kwenye hali nzuri au na mali zilipuputika ? Maana kwa stori hizi ni wazi jamaa alipiga hela sana
Uchambuzi wako mzuri sana mkuu. Hakuna mtu mwenye akili ambae hawezi kuelewa ulichoandika.Kwa Macheni ilikuwa noma sana. Lakini jina lilikuwa kubwa sana kwa sababu ya Uasherati.
Baada ya Macheni kuachana na kazi yake ya Ubaharia, akaja kufungua Bar, walijaa mashoga na Malaya wa Kila aina. Yeye mwenyewe alikuwa Shoga, alijifunzia huko kwenye Ubaharia. Walimbandua.
Kidimbwi panaizidi sana Kwa Macheni. Walau penyewe ni pasafi na Kuna nafasi ya kutosha. Ila kwa Umalaya na ushoga pamoja na umaarufu, bado sana wa kuifikia Kwa Macheni.
Kweli kabisa mkuu, ulichoandika ndio kilichokuwepo.Ndivyo ilivyokuwa sema watu hawakuwa na uzoefu na maeneo yale, wanasimuliwa tuu. Pale palikuwa ni kijiwe cha misheni town na wajanja wengi walikuwa wanapanga mipango na connection zao mitaa ile back in the days.
Mpaka hapo unapoandika tayari unaijua kwa macheni ndio maana umeifananisha na hiyo maggot.Kwa macheni kitu gani, Unaijua maggot bar wewe?
Imekufa na mwenyewe kafa
Inasemekana yeye mwenyew alikua shogaYa pale ndo palipoasisi mashoga wakubwa wa Dar. Kina marehem anti Mudy na wengineo wengi walipatikana kwa wingi pale kwa macheni.
Dah ama kweli siku hazigandi. Kwa macheni imebaki historia tu asa hivi.