Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Mmh...wakati utasema kama kweli...
Sheria kandamizi, majina yasiyo reflect interest za taifa yatafutwa! Mfugalle ni kwa vile walikuwa maswahiba wanakula pamoja, watu wana kumbukumbu sahihi!
 
taratibu rafiki yangu si unajua tena nchi hii si salama! Naona sheikh wa Dar yupo, eti anye anasali, huyo Mungu simtaki, nitatafuta wa kwangu asiyehusiana na huyo Sheikh!
haahahhaahhaa
 
Mwangosi,mauaji Arusha, ulimboka, kibamba haya yalitokea China. Bora uwe MCHAWI KULIKO MNAFKI.
Hayakuwa sanctioned na JK! mind! haya yanakuwa sanctioned na yule baba yetu wa Mbinguni,everybody knows. KJ has necer been implicated in those killingsm but this one is implicated even by you, misuli!
 
"ENG MFUGALE - 1st degree India na Masters nchini Uingereza, ameshiriki kudesign madaraja mengi nchini."

Sijui tunajifunza nini hapa hasa kwenye hii dhana yetu ya Tanzania ya Viwanda na kuzalisha kizazi chenye tija kwa Taifa.
 
Kwanza kuna miradi kibao imekwama, ishu ingekua ni mkataba kusingekuwa na story za miradi kukwama.
 
Hivi Mkazi wa Bunju au Mapinga ananufaikaje na hii flyover?
 
"ENG MFUGALE - 1st degree India na Masters nchini India, ameshirii kudesign madaraja mengi nchini."

Sijui tunajifunza nini hapa hasa kwenye hii dhana yetu ya Tanzania ya Viwanda na kuzalisha kizazi chenye tija kwa Taifa.

Usipende kuwa mwongo na mpotoshaji.

Mhandisi Patrick Mfugale masters yake amesomea Uingereza.

Kule ndiko khasa amejifunza kujenga madaraja kama hili la Mfugale.

Amejenga madaraja 1400 nchi nzima.
 
Hayakuwa sanctioned na JK! mind! haya yanakuwa sanctioned na yule baba yetu wa Mbinguni,everybody knows. KJ has necer been implicated in those killingsm but this one is implicated even by you, misuli!
Hahahahahahah kwa akili hii ccm itawale milele.Kama kiongoz wa nchi alichukua hatua gani kwa mauaji ya Arusha?Kamanda wa polisi alifukuzwa kazi au alipandishwa cheo?Unafki unawatesa sana,yaani mabaya yote enzi za jk mnamtenga nayo ila kwa jpm lzm yamhusu.Tumepigwa sana mabomu chuo kikuu, nyumba zimebolewa sana lkn mtu anaibuka leo anakuambia haya yote sio jk.
 
Usipende kuwa mwongo na mpotoshaji.

Mhandisi Patrick Mfugale masters yake amesomea Uingereza.

Kule ndiko khasa amejifunza kujenga madaraja kama hili la Mfugale.

Amejenga madaraja 1400 nchi nzima.

Samahani ni makosa ya kiuandishi uko sahihi, swali langu watanzania tunajifunza nini hasa kwenye dhana hii ya Tanzania ya viwanda?
 
Ni mwanamama huyo
 
Of course he was as you have described, but there are some issues to comprehend! alikuwa dhaifu sana, tena sana... lakini hakuwa dictator, hakuua watu, hakuna miili iliyookotwa Coco beach, Hakuna Ben Saanane, hakuna Mawazo etc.
Hicho kizungu cha ugoko peleka kulee.
 
RC Makonda

Makonda wakati anamkaribisha Rais amemsifu na kumwambia kuwa ujenzi wa fly-over hiyo utaondoa usumbufu wa msongamano wa barabarani na kusaidia watu kuwahi maofisini, majumbani na hata Airport

"Tumewaalika wabunge wote wa Dar katika Uzinduzi wa ‘Flyover’ ya Mfugale ila Wabunge wa Kawe, Ubungo na Kibamba hawajaja... aaah!

Ndoa za wengi zilitetereka kutokana na foleni ya TAZARA, wengine walidanganya kumbe walikuwa ‘guest’ tu

Daraja la Nyerere la Kigamboni kwa sasa linaingiza takribani Tsh. Milioni 800 kwa mwezi"

Pia amemuomba Rais afanye ziara katika Mkoa wa Dar kwani wanahitaji sana ziara hiyo na wanaona wivu anapokuwa katika mikoa mingine na kupiga picha na wananchi

Wakuu mliokuwepo au kufuatilia tafadhali mseme. Maana…….
 
Samahani ni makosa ya kiuandishi uko sahihi, swali langu watanzania tunajifunza nini hasa kwenye dhana hii ya Tanzania ya viwanda?

Haina shida mkuu kuwekana sawa ni moja ya mambo ya msingi wa JF.

Ukiwa na barabara za juu kama hizi na za kutosha basi unafungua njia nyingi za kusafirisha bishaa za viwandani na kukurahisisha biashara zingine nyingi tu.

Kwa mfano huko Uingereza alikosomea hayo mambo, wao wakati wa usiku ndo utaona malori na magari mengine maarufu kwa jina la Van ndo yanasafirisha bidhaa mbalimbali kati ya miji mingi nchini humo.

Hii inasaidia kuondoa kelele katika barabara za kawaida na kuleta misongamano.

Ikikamilika hiyo Ubungo Interchange basi bidhaa za viwandani, mashambani na za kutoka sehemu zingine kama bandarini zitakuwa zikisafirishwa kwa muda mfupi na pembezoni mwa barabara hizo watanzania wanaweza kujenga viwanda vyao vya aina mbalimbali.

Urahisi huo ni wa kufikisha bidhaa zhizo sokoni pameoma kutoka mashambani au kwenye mabohari.

Ukiangalia viwanda vya barabara ya Nyerere ni mfano wa viwanda vitakavyojengwa pembezoni mwa hiyo Ubungo Interchange.

Uchumi unatagemea sana barabara na viwanda vinatagemea barabara.

Nikupe wazo, tafuta eneo kubwa la ardhi kuelekea Chalinze na uikilipata basi tengeneza wazo la kuwa na kiwanda hata kidogo tu.

Ukiishafanya hivyo basi tafuta mwekezaji wa ndani au wa nje ambae atakujengea kiwanda chako na mtaanza kula faida pamoja baada ya hapo uzalishaji utakaanza kushika kasi..

Kwasababu mwekezaji wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi lakini anaweza kushirikiana na mzawa kujenga kiwanda hicho.

Nakupa wazo la kujenga kiwanda cha urejereshaji au Recycling na takataka zote za aina ya karatasi unakuwa ukizitoa mikoa yote ya Tanzania je utaweza kufanya hivyo?

Ukifanya hivyo utaajiri watanzania na utalipa kodi na pia utawezesha uchumi wa viwanda.

Unaweza kuja kujikuta wewe ni mmoja wa matajiri fulani hivi ndani ya miaka 5.

Usishinde JF kupiga soga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…