Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ha ha ha duuuh kumbe hata HUNIJUI 🤣🤣Nyamaza huna hoja msomali wewe au unataka tukuanike mshenzi wewe?
Ball possession ipo 80%.....Mama anaupiga mwingi sanaaa 😂😂😂
Askari hawakutumwa kusimamia SHUGHULI ya BAWACHA... mkuu mbona unaongeza "mbirimbi"?!!!
Askari wako kutimiza majukumu yao waliyoelekezwa kama watakavyokuwepo baadaye pale uwanja wa TAIFA katika mechi ya DERBY YA TANZANIA.....
Hapo sasa....Wanamuomba Mama akemee. Akemee nini??
Wao si watamlazimisha?? Haya waendelee sasa
Kwahiyo dakika 30 hazitoshi kula ukanawa mikono kwa sabuni ukaondoka kwenda kumhudumia mumeo nyumbani ???Sasa dakika 30 ndo mda gani huo
Haatareee.....Ball possession ipo 80%.....
Wadanganye mapunga wenzio hapo lumumbaHa ha ha duuuh kumbe hata HUNIJUI 🤣🤣
Utachekwa na wanaonijua mkuu...ha ha ha ha
Mimi na usomali wapi na wapi?!!
ID yangu haina JINA FEKI meku 🤣🤣
Duuuh mnaanza KUTENGENEZA zile SCRIPT zenu mtunzi akiwa yule nguli aliyetengeneza JURASSIC PARK eeee?!!! 🤣🤣Kama hii ni kweli kama inavyoripotiwa hapa basi nitajua ni wazi kabisa kwamba viongozi wa CCM ni kizazi cha nyoka.
Tutakuwa taifa ambalo watu wake ni wa mwisho duniani kwa kukosa uhuru. Na nitasema heri hata wakati wa mkoloni wa Kiingereza. Ukoloni wa CCM ni ukoloni wa kutisha, kuteka, kubambikia makesi na kuua?
Mama unanihuzunisha sana. Just when we thought we were getting to the top we find that we have hit bottom!!!!!
Mtaongea mpaka kisandawe safari hii.Kama hii ni kweli kama inavyoripotiwa hapa basi nitajua ni wazi kabisa kwamba viongozi wa CCM ni kizazi cha nyoka.
Tutakuwa taifa ambalo watu wake ni wa mwisho duniani kwa kukosa uhuru. Na nitasema heri hata wakati wa mkoloni wa Kiingereza. Ukoloni wa CCM ni ukoloni wa kutisha, kuteka, kubambikia makesi na kuua?
Mama unanihuzunisha sana. Just when we thought we were getting to the top we find that we have hit bottom!!!!!
Duuuh mkuu umeanza matusi tena....Wadanganye mapunga wenzio hapo lumumba
🤣🤣Mtaongea mpaka kisandawe safari hii.
Tutashughulikia habari za maendeleo au tutashughulikia mambo ya kijinga??
Ukiona Tanzania inakuwa ya mwisho ungana na Lissu huko alikokwenda. Na ikiwezekana msirudi maana yeye kasema hatorudi mpaka mikutano ya hadhara ya ushoga ianze Tanzania jambo ambalo halitokaa litokee kamwe.
Mkuu unawapenda FFU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ha ha ha mkuu hapana banaa...hao ni akina mama....ninaamini hawatakuwa na ajenda ya MAANDAMANO na mikutano ya hadhara kwani huko ndiko FFU "watajitokeza" 🤣
Mnawaonea tu POLISI....Kuzuia mikutano ni upuuzi na ujuha ,mikutano ina hathari gani? Kwani wanapanga kupindua nchi au kufanya ugaidi?
Potelea maporomokoni.Si kweli kwamba serikali zote zinafanya hivyo. Nimeishi nchi 6 tofauti, na ni moja tu kati hizo niliona serikali ni onevu kama hii ya CCM. Watu wengi wanaishi kwenye mazingira huru. Tanzania kwenyewe utawala wa Mwalimu na wa Mwinyi ulikuwa hauna uozo huu wa uonevu.
Nilidhani Mama ni mcha Mungu wa kweli anayechukia uonevu na dhuluma, ila kwa hali hii naanza kuona labda hata yeye kaoza tu kama viongozi wengine wa CCM. Hiki Chama ni ukoma kwa taifa letu. Mimi sina chama but I can smell rubbish a mile away.
🤣🤣Mkuu unawapenda FFU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haki ya kukusanyika ili mtukane watu sio????Tayari utawala wa awamu ya sita unarudi kulekule walipofeli utawala wa awamu ya tano, yaani kushindwa kuvumilia hata haki ya kukusanyika Katika ukumbi.