Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

Askari hawakutumwa kusimamia SHUGHULI ya BAWACHA... mkuu mbona unaongeza "mbirimbi"?!!!

Askari wako kutimiza majukumu yao waliyoelekezwa kama watakavyokuwepo baadaye pale uwanja wa TAIFA katika mechi ya DERBY YA TANZANIA.....

Majukumu yao ni kusimamia shughuli za wakina mama?

Amandla...
 
Kama hii ni kweli kama inavyoripotiwa hapa basi nitajua ni wazi kabisa kwamba viongozi wa CCM ni kizazi cha nyoka.

Tutakuwa taifa ambalo watu wake ni wa mwisho duniani kwa kukosa uhuru. Na nitasema heri hata wakati wa mkoloni wa Kiingereza. Ukoloni wa CCM ni ukoloni wa kutisha, kuteka, kubambikia makesi na kuua?

Mama unanihuzunisha sana. Just when we thought we were getting to the top we find that we have hit bottom!!!!!
Duuuh mnaanza KUTENGENEZA zile SCRIPT zenu mtunzi akiwa yule nguli aliyetengeneza JURASSIC PARK eeee?!!! 🤣🤣
 
Kama hii ni kweli kama inavyoripotiwa hapa basi nitajua ni wazi kabisa kwamba viongozi wa CCM ni kizazi cha nyoka.

Tutakuwa taifa ambalo watu wake ni wa mwisho duniani kwa kukosa uhuru. Na nitasema heri hata wakati wa mkoloni wa Kiingereza. Ukoloni wa CCM ni ukoloni wa kutisha, kuteka, kubambikia makesi na kuua?

Mama unanihuzunisha sana. Just when we thought we were getting to the top we find that we have hit bottom!!!!!
Mtaongea mpaka kisandawe safari hii.

Tutashughulikia habari za maendeleo au tutashughulikia mambo ya kijinga??

Ukiona Tanzania inakuwa ya mwisho ungana na Lissu huko alikokwenda. Na ikiwezekana msirudi maana yeye kasema hatorudi mpaka mikutano ya hadhara ya ushoga ianze Tanzania jambo ambalo halitokaa litokee kamwe.
 
Mtaongea mpaka kisandawe safari hii.

Tutashughulikia habari za maendeleo au tutashughulikia mambo ya kijinga??

Ukiona Tanzania inakuwa ya mwisho ungana na Lissu huko alikokwenda. Na ikiwezekana msirudi maana yeye kasema hatorudi mpaka mikutano ya hadhara ya ushoga ianze Tanzania jambo ambalo halitokaa litokee kamwe.
🤣🤣
 
Si kweli kwamba serikali zote zinafanya hivyo. Nimeishi nchi 6 tofauti, na ni moja tu kati hizo niliona serikali ni onevu kama hii ya CCM. Watu wengi wanaishi kwenye mazingira huru. Tanzania kwenyewe utawala wa Mwalimu na wa Mwinyi ulikuwa hauna uozo huu wa uonevu.

Nilidhani Mama ni mcha Mungu wa kweli anayechukia uonevu na dhuluma, ila kwa hali hii naanza kuona labda hata yeye kaoza tu kama viongozi wengine wa CCM. Hiki Chama ni ukoma kwa taifa letu. Mimi sina chama but I can smell rubbish a mile away.
Potelea maporomokoni.

Yaani mtu mumtukane tu awaangalie eti kwa kuwa mlidhani ni mcha Mungu?? Never on earth.

Miongoni mwa mafundisho ya mwanzo kabisa mtu anayopaswa kuyapata ni namna ya kutunza heshima yake.

Kuna msanii aliimba "utanipa heshma yangu au nitaichkua kwa nguvu"

Yaani nyinyi watu hamtaki kabisa kuongozwa kistaarabu. Mnataka muongozwe kama mapunda. Sasa si mnaleta undezi?? Hatutaki kuskia vilio pale mambo yakipamba moto
 
Mkuu unawapenda FFU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣
Mkuu hao jamaa wanakong'oli mno....

Nakumbuka walimkong'oli kaka yetu mmoja kiharakati kipindi akiwa Kiongozi wa CHUO KIKUU mpaka kushindwa kutembea na kutambaa Kama NYOKA kule HESLB....Leo ndugu huyo ni "DC" mikoa ya kusini ha ha ha ha

#KaziIendelee
 
Back
Top Bottom