Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Ndio maana tunasema jeshi limekosa weledi!Wanaumbuka na kujidhalilisha kwa vitu vya hovyo hovyo tu visivyo na kichwa wala miguu!mkuu wangehariri barua ungesema kawafundisha.
wameamua kuwa madogo ili kuepusha vurugu mnawazomea,lakini wote tunajua kwamba wakiamua kufanya ujinga huwa wanaufanya ujinga uliokomaa.
tufurahi maana amani ndicho kitu tunachoulizia.
Leta original sio unasema fake na original hunafake
Polisi wamelegea!
Isije ikawa ni fake. Maana amri katoa Sirro usitishaji atamke Mambosasa. Hii imekaaje?
Itakuwa ni fake
Siro ameona amekosea inabidi awatume wa chini yake waweke mambo sawaIsije ikawa ni fake. Maana amri katoa Sirro usitishaji atamke Mambosasa. Hii imekaaje?
Itakuwa ni fake
Wanakula mabanzi kutoka kila kona ya dunia hii!PoliCCM wamekubali Mpira Uishe tu.
John, nini maoni yako ?!Ni jambo jema!
Maendeleo hayana vyama.
Anafokea Polisi,kwenye kanda maalumu.mbalimbali,kwahiyo kanda ya Dar,wamekasirika sana"Kanda Maalum Ya Polisi Dar Es Salaam" inahusika vipi na uhalifu wa mkoa mwingine, swala la kosa aliloitiwa (Japo halijatajwa) Mh Tundu Lissu ni mkoa wa Mara na akatakiwa ku report Kilimanjaro.
Nchi yetu jeshi la polisi limekosa weredi kabisa, viongozi wanakurupuka na kujiamulia tu anachojisikia, hawajui "TERRITORIAL JURISDICTION/MAMLAKA YA KIENEO" yanakwenda vipi na yana nguvu gani kisheria.
Mambosasa anatakiwa afanye kazi kulingana na "TERRITORIAL JURISDICTION" ya eneo lake, eneo lake na mamlaka aliopewa kisheria ni ya Kanda Maalum Ya Dar Es Salaam, hana mamlaka kisheria ya kuingilia maswala ya kikazi ya mikoa mingine. Aache kukurupuka kwani atalinajisi jeshi la polisi kuonekana halifuati sheria na mamlaka.
Barua ingekua imetokea "MAKAO MAKUU YA POLISI" raia tusingekua na pingamizi, kwasababu makao makuu ya polisi wana mamlaka ya mikoa yote kisheria. Ila barua inatoka "KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM". Kwa hilo watuache.
Acha lissu awanyooshe hawa vibwengo wenye vyeo vikubwa bila ya kuwa na elimu ya kukidhi matakwa ya kazi yao.
Au lasivyo wakiachiwa, kesho tutasikia Mhalifu amefanya kosa la Kubaka Morogoro halafu Jeshi La Polisi Mkoa Wa Kigoma limetoa barua ya kuachiliwa mara moja mhalifu huyo.
Hawa policcm hawajitambui kabisa na ni aibu kubwa hadi Lissu awafundishe kazi na sheria ndio wanaelewa?! Kweli watazicheza ngoma za Lissu mwaka huu.
Ikiwa hii barua siyo fake maana yake huu ni uthibitisho kuwa jeshi letu la polisi ni fake.Si ndiyo mkuu?Isije ikawa ni fake. Maana amri katoa Sirro usitishaji atamke Mambosasa. Hii imekaaje?
Itakuwa hii barua ni fake
Ataitisha press conference ya kukanusha kuwa hii barua ni fake!!Tunatarajia mpaka kufika jioni IGP Simon Sirro atakuwa amekwisha kabidhi barua ya kujiuzulu .
Ndio maana tunasema jeshi limekosa weledi!Wanaumbuka na kujidhalilisha kwa vitu vya hovyo hovyo tu visivyo na kichwa wala miguu!
Mama umefufuka, umekuja kuongeza vichwa??Upinzani.. jaribuni lingine..
Dar na Kilimanjaro!!!!!! Mtajiju..
Magufuli 2020[emoji817]
Amani ni zao la haki....hakuna Amani bila hakitufurahi maana amani ndicho kitu tunachoulizia.