DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Kiherehere chako. Aliekuambia uchange nani? Sheria ni msumeno. Mnajiokotezea vitu vibovu huko mnaleta huku kwani ni dampo? Lipeni Kodi acheni kulia lia
 
Ndio umeandiika nini? Makonda ndio mwenye uchungu na maendeleo ya Dar?. Unatukosea heshima mno, huyu kijana hana nidhamu ya uongozi! Mikwamo ishaanza na bado, umri wake bado mdogo sana ametengeneza kitu kibaya sana huko tuendako. Kimsingi procedure ilipaswa aulize kabla ya mzigp kupakiwa, alifanya maksudi akidhani jina lake likiwepo itakuwa rahisi kusamehewa kodi...., kumbe misamaha ya kodi iko kisheria. Anaendelea kulalamika as if anaonewa yeye nani? Mbona ambulance za wabunge tuliona zinapigwa kodi?. Ni kijana aliyepewa nafasi kashindwa kuitumia kwa nidhamu. Kampaka sana matope aliyemchagua pasipo kujua.sasa naona kastuka. Hutakiwi kumwamini Rais, Rais anatakiwa kukuamini, hamshei urais wake hata kama anakupenda vipi!
 
"
Mi nahisi kuna issue hatuijui kama aliombea makontainer 36 na 20 ndo yqmelima kishoka bandaeini 16 yapo wapi na alimaqnisha nini
 
Cha kujiuliza hivi kwanini Magu amekaa kimya MTU anaonekana kukwepa kodi Mara akatae sio yake?

Nadhani kuna siri nzito kati ya rais na Bashite
 
MAkonda alifanikiwa kuingilia sana wizara ya mambo ya ndani kupitia uenyekiti wa kamati ya ulinzi alivuka mipaka na kuingilia kazi za Mwigulu!

Leo kaingia cha Kike! Kakutana na Mpango kakaziwa; ajue tu pale wizarani yupo mtoto mpendwa kuliko yeye (Doto):
Msikie mpango akimpa za uso hapa!

Siku zimekaribia za gavana kuondoka habebeki!

Makonda fahamu kuwa Dr. mpango siyo mwigulu au ummy mwalimu ambao ulikuwa unawaingilia majukumu yao! Nasubili laana
 
Waziri mzima katoka dodoma,kaja Dar kuyashindilia makontena yapigwe mnada.
Hakutembea makinikia,hakutembelea LW9,huko kuna mali ya mabilioni Tra wanauziana kienyeji na ku refer kuwa huyu alishinda katika mnada fulani
 
Makonda fahamu kuwa Dr. mpango siyo mwigulu au ummy mwalimu ambao ulikuwa unawaingilia majukumu yao! Nasubili laana
Acha utoto wewe
Huyo mpango kaacha ofisi dodoma kaenda bandarini kushindilia container za Makonda tu?Basi hata kutumia ziara hiyo kuamuru na mizigo mingine yote inadiwe,lakini kwa kua anaongozwa kwa chuki mizigo mingine kwake si lolote hata ikikaa miaka 10
 
Acha porojo wewe punguani,chuki gani hiyo? Ndiyo ninyi mnao promote sheria ziwe na macho ! Sheria ni msumeno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mheshimiwa RC nenda TRA ukaoombe msamaha ikibidi au kuweka sawa procedures ili kufikia suluhisho.
Hilo limeshafanyika kazi ipo kwa mpango
Mpango anaamani kwa dhati kabisa ya moyo wake kuwa samani hizo kuukuu ni za Makonda,hivyo basi azilipie ushuru.
Mpango kwa chuki yake kaenda kuyashindilia yauzwe,badala ya kuyataifisha basi yapelekwe shule za serikali nchi nzima
 
Acha porojo wewe punguani,chuki gani hiyo? Ndiyo ninyi mnao promote sheria ziwe na macho ! Sheria ni msumeno

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mpenzi wa somo la sheria,sishabikii sheria kupindishwa
Sheria ya kodi imempa waziri wa fedha maguvu ya kusamehe kodi bila hata kuliarifu bunge,ndio maana kuna mawaziri waliwahi kudondoka kwa kuitumia sheria hiyo vibaya
Hapa huwezi kumuona mtu kama Zitto,yeye anasubiri magufuli tu ,aweze kutweet
 
Sheria si mnatunga wenyewe na kuzipitisha kwa kusema ndioooo!!Sasa hapo unashangaa nini?!

Alafu jiulize ni kwanini mwanzoni aliakana alafu baadae akayakubali?

We jua tu hilo ni dili limebumbuluka.
unaijua vizuri sheria ya kodi wewe au unabwabwaja tu
 
Kwann jina lake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilivyokuwa Makonda alienda kwenye nyombo vya habari akaomba watu wa nje tutume vifaa alisema kwenye media sio hata siri na akasema lini vitafika watu wa pale Washington state walijua vifaa vinaenda kusaidia watoto na mkuu wa mkoa aliomba viwe kwa jina lake ili asaidie sehemu ambayo haina vifaa lakini kosa lake lisije ku cost watoto wangemtafuta mtumaji ambaye ni Mtanzania ! Kabla ya mnada na angeweza kubadilisha jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…