Noma Sana.Daaah jamani. Binadamu anaua binadamu mwenzake.
niliuchukia uongozi wa magufuli kwa kukandamiza demokrasia,kuteka,kuua watu na kupora uchaguziWe itakuwa ulikuwa liuza ngada na hii mi avatar yenu inaakisi jinsi mlivyo....
His tena [emoji33]May his soul fly high
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] nacheka hulu nalia kwa pamojaBashite yupo hapa mjini? Ndiyo mikato yake hii.
Kisa ni nini?Yule mnene ?
kile kikundi cha jiwe bado kipoHaya ya utekaji na uuaji tulishayasahau,yani Jiwe kaondoka tu haijapita hata mwezi tayari maonezi yameanza.Daah so sad
Uliyasahau lini wakati utawala wa Jiwe ndio uliongoza kwa mambo ya utekaji na mauaji?!Haya ya utekaji na uuaji tulishayasahau,yani Jiwe kaondoka tu haijapita hata mwezi tayari maonezi yameanza.Daah so sad
Na wale waliokuwa wanauawa wakati wa JPM unajifanya umewasahau, au?!Kati ya mambo ambayo ninayahofia baada ya kifo Cha JPM Ni hili la wimi la ujambazi.... Tulikuwa peace hatari