Dar: Mvua kubwa sana imenyesha usiku wa kuamkia leo 21/01/2024

Yes. When confronted with two evils you have to choose the least. πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Yeah, choosing between the lesser of two evilsπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
I would rather be his β€œfree use toy” considering I would still be alive, compared to fvcking drowning.
 
Mjifunze kuangalia na kufuatilia maswala ya utabiri wa Hali ya hewa, kazi kufuatilia udaku tu, ukifungua tu simi yako inakupa utabiri lakini sijui wangapi huwa tunajari.

Ukibifya hapo unapata taarifa zaidi Kwa saa na Siku Za mbele


 
TMA inyamaze tu wanatutangazia wakati sisi tayari tuko barabarani!
 
Mbona kama TMA walishatoa tahadhari tangu mapema? Huyo Nabii alitabiri lini?
 
Sasa kwa mvua hii hata ungejua itanyesha ungeweza kuzuia nini? Angalia kule Mbweni na Kunduchi wangezuia nini na mvua imezidi hadi miundombinu imezidiwa?
Labda wangekimbia nyumba zao.
 
Hakuna unabii wowote, ukifuatilia news na site ya NASA unaelewa weather forecast ya dunia nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…