Hapo tatizo. Leo Bolt na Uber ndio wanapiga hela. Biashara nyingine labda Lodge na restaurants. Ila Kariakoo Sinza Mwenge Daladala Boda Bars zote zimekaaIla cha moto mmekipata ,nakumbuk hapo mvua kidogo mambo kibao yanasimama kama foleni ya magari inakuwa kubwa mno.
Kumbe vile vimulimuli ndiyo radi! Mimi nilijua ni flashi za kamera kwenye sherehe za askofu Malasusa kukabidhiwa kanisa.Maji hayapiti kwetu, naogopa tu radi..
Yeah, choosing between the lesser of two evilsπππYes. When confronted with two evils you have to choose the least. π π π
EwaaaahhhUpo mikono salama sasa
TMA inyamaze tu wanatutangazia wakati sisi tayari tuko barabarani!Bado mvua ni kubwaaa.....na inakuja zaidi.View attachment 2878070
Zingatia: sio lazima utoke kama huna sababu ya lazima sana.
Pia kwa wenye magari madogo aka saluni ongeza umakini kukatiza mitaro ya maji.
Kama gari lako lina tatizo ya battery pia tulia maana likizima katikati ya mvua hakuna booster...ni ushauri tu.
Kumbe uko kwenu walikuwa hawajakata [emoji3] sisi uku ile manyunyu tu wakakata....hili shirika sijui lina ugomvi gan na mvuaTanesco sasa hivi wanakata umeme[emoji30]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni hatariii sanaa.Subiri na wewe, ukikosea ukaja huku maeneo ya Tegeta na mvua ikanyesha.
Sema uko Wapi nije nikupe kampani bibieHuku inanyesha hadi mimi naogopa
Ndani nipo mwenyewe[emoji3064]
Ulivyo taja mto mbezi nimekumbuka 2008 uko nimeoga sana [emoji3][emoji3][emoji3]Kuogelea kwenye swimming pool na kuogelea mtombezi[emoji23]ni vitu viwili tofauti
Mbona kama TMA walishatoa tahadhari tangu mapema? Huyo Nabii alitabiri lini?Kuna nabii alitabiri, Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu, itafunikwa na maji, kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho. Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu. Ila walio wengi waliposikia unabii huo, walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii, bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Uko sahihi..Tsunami sio kimbunga cha baharini, hurricane ndio kimbunga cha baharini...
Tsunami ni hali ya bahari kuwa na mawimbi makubwa ya maji ambayo hutokea baada ya tetemeko la ardhi chini ya bahari...
Sasa kwa mvua hii hata ungejua itanyesha ungeweza kuzuia nini? Angalia kule Mbweni na Kunduchi wangezuia nini na mvua imezidi hadi miundombinu imezidiwa?Mjifunze kuangalia na kufuatilia maswala ya utabiri wa Hali ya hewa, kazi kufuatilia udaku tu, ukifungua tu simi yako inakupa utabiri lakini sijui wangapi huwa tunajari.
Ukibifya hapo unapata taarifa zaidi Kwa saa na Siku Za mbele
View attachment 2878322
Hii mvua inanyesha kwasababu watu wengi? Sasa na huko mikoani si kutajaa pia?Rudini mikoani huo mji mmeshajazana
Kaeneo kadogo mnalundikana watu milioni 6,mnaanza kuilaumu Ccm π,rudini simiyuHii mvua inanyesha kwasababu watu wengi? Sasa na huko mikoani si kutajaa pia?
Hakuna unabii wowote, ukifuatilia news na site ya NASA unaelewa weather forecast ya dunia nzima.Kuna nabii alitabiri, Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu, itafunikwa na maji, kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho. Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu. Ila walio wengi waliposikia unabii huo, walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii, bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Mji mdogo kulinganisha na wapi?Kaeneo kadogo mnalundikana watu milioni 6,mnaanza kuilaumu Ccm π,rudini simiyuView attachment 2878447
πππMkuu usitenganishe neno mto na mbezi we unganisha tuUlivyo taja mto mbezi nimekumbuka 2008 uko nimeoga sana [emoji3][emoji3][emoji3]