Dar: Wanafunzi wa kike sekondari za Kinondoni wanaanza ngono mapema sana

Dar: Wanafunzi wa kike sekondari za Kinondoni wanaanza ngono mapema sana

Binafsi nazijua shule mbili ambazo karibu kila msichana wa kuanzia form two ana boyfriend ndani ya shule au nje ya shule wakiwemo na watu wazima pia ambao sio wanafunzi.

Kuna idadi kubwa sana ya wasichana wa sekondari ambao wanadanga na kujiuza kwa wanaume.

Ile sheria ya ubakaji ya mwaka 98 haina maana yoyote kabisa kwa wanaume wenye pesa kwa sababu wanatembea na hivyo vitoto vya shule wanavihudumia na familia zao na maisha yanasonga..

Last week tumepata kesi mbili za mtoto wa dada angu na rafiki yake msichana ambao wana mahusiano na wavulana shuleni . Sista alifuma meseji dogo kubanwa ndo akafunguka kila kitu ndo nikapata kujua hali halisi ilivyo.
secondary mbona ni kawaida kuwa kwenye mahusiano labda hayo ya watu wazima
 
Toka zamani tunasoma haya mambo kawaida Sana...
Tena zamani ilikuwa watoto wa primary....wanatembea na Makonda WA daladala na wauza chips
Zamani hakukuwa na awareness na watoto walisoma wakubwa.. sasa hao watu wazima wanao fanya na watoto wa shule hawaogopi mkono wa sheria? Au fedha inaongea
 
Zamani hakukuwa na awareness na watoto walisoma wakubwa.. sasa hao watu wazima wanao fanya na watoto wa shule hawaogopi mkono wa sheria? Au fedha inaongea
Zamani gani hii unazungumzia!?..1990s mabinti wanasema sekondari na Wana mahusiano na watu wazima mitaani,jumapili hawaendi kanisani Misa wanafanya ghetto,tukiwa shule ya msingi madem walikua na mahusiano kitaa na mabro,1995 kurudi nyuma
 
Binafsi nazijua shule mbili ambazo karibu kila msichana wa kuanzia form two ana boyfriend ndani ya shule au nje ya shule wakiwemo na watu wazima pia ambao sio wanafunzi.

Kuna idadi kubwa sana ya wasichana wa sekondari ambao wanadanga na kujiuza kwa wanaume.

Ile sheria ya ubakaji ya mwaka 98 haina maana yoyote kabisa kwa wanaume wenye pesa kwa sababu wanatembea na hivyo vitoto vya shule wanavihudumia na familia zao na maisha yanasonga..

Last week tumepata kesi mbili za mtoto wa dada angu na rafiki yake msichana ambao wana mahusiano na wavulana shuleni . Sista alifuma meseji dogo kubanwa ndo akafunguka kila kitu ndo nikapata kujua hali halisi ilivyo.
Sio huko tu mkuu,hata huku mikoani hali ni mbaya.Watoto wanazagamuana sana.
 
Matatizo mengi walionayo wanafunzi wanTanzania yanasababishwa na jamii i.e. watu wazima. Infact naweza kusema bila shaka kabisa kuwa tatizo siyo hao watoto bai tatizo ni jamii. Kwa wale walibahatika kuishi nchi zilizoendlea wanajua kuwa kwa maisha ya sasa simu ni kifaa muhimu sana na wanafunzi karibu wote humiliki simu mara wanapofikisha miaka 9 na kuendelea. Mbona hawana haya matatizo? Kwenye jamii yetu, inaonekana kama kumnunulia mtoto simu ni kumtuma afanye mahusiano ya ngono lakini ukweli ni kwamba jamii yetu ndiyo inaona/inatumia simu kama chombo cha mawasiano ya ngono. Hivyo basi watoto wanachofanya ni kuiga kutoka kwa wazazi wao. Siku hizi, asilimia kubwa kabisa ya wamiliki wa simu wanadhani na huzitumia kwenye mambo yanayohusiana na ngono.
Sahii [emoji419] ata guest houses ukiwauliza watoto na ata Mimi mwenyewe nilikua na jua ni maalumu Kwa kugegedana tu.

Mwalimu wetu mmoja alituuliza hao watu wazamani walikuwa hawatumii simu kama nyinyi Sasa hivi lakini mbona walikuwa wanapataujauzito? Hapo ni kweli kabisa tatizo ni akili inayoandaliwa na jamii juu ya kizazi hisika
 
Zamani gani hii unazungumzia!?..1990s mabinti wanasema sekondari na Wana mahusiano na watu wazima mitaani,jumapili hawaendi kanisani Misa wanafanya ghetto,tukiwa shule ya msingi madem walikua na mahusiano kitaa na mabro,1995 kurudi nyuma
Yes miaka ya tisini madenti walikuwaga wakubwa halafu sheria ya ubakaji ililetwa mwaka 98
 
Back
Top Bottom