Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
- Thread starter
- #101
Umeongea pwentiwakuu tuwape.elimu haw madogo juu ya athar za ngono zembe na jins ya kuepuka magonjw ya zinaa na mimba mashulen ila kuhus kukataza hio haiwezekan na ni ujinga mana kla mtu kaptia teenage stage yan hapo dogo haelew ktu wapew elmu tu wasfnye ngono zembe alaf waendelee kufnya kw afya na wasome vilevile
NB usiniulze nawakulaga ama laa ila kumkataza mtu asile raha za mwl wke nao ni kuvunja haki za binadam