Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
- Thread starter
-
- #101
Umeongea pwentiwakuu tuwape.elimu haw madogo juu ya athar za ngono zembe na jins ya kuepuka magonjw ya zinaa na mimba mashulen ila kuhus kukataza hio haiwezekan na ni ujinga mana kla mtu kaptia teenage stage yan hapo dogo haelew ktu wapew elmu tu wasfnye ngono zembe alaf waendelee kufnya kw afya na wasome vilevile
NB usiniulze nawakulaga ama laa ila kumkataza mtu asile raha za mwl wke nao ni kuvunja haki za binadam
Waachee waitafute jela, alafu baadae waje wamsingizie Shetani!!Mbadilike acheni kuwatamani ...
Na ni kwa nini tuweke "AN"!!??Kwenye statement yake hii "for every action there is "AN" equal and opposite reaction" alipaswa kuandika there is an equal, na sio there is equal. Sawa sawa ndugu?
Rudi shule ukapigwe msasa, au lipia upate shule hapa hapaNa ni kwa nini tuweke "AN"!!??
Haya ndiyo majibu mepesi ya elimu zetu za kukariri! Asante sana karibu tena!!Rudi shule ukapigwe msasa, au lipia upate shule hapa hapa
na Bahati nzurii sana hakuna kësi ya ubakaji inayotoka dar hpo... Kësi zotë zipo mikoanii.. huko watoto wajanja sanaaaaToka zamani tunasoma haya mambo kawaida Sana...
Tena zamani ilikuwa watoto wa primary....wanatembea na Makonda WA daladala na wauza chips
Imekuwa tabu sanaHiki kizazi hiki aiseee! Na si shule hizo tu, haya mambo sasa yako kwenye karibu kila shule. Sijui hata tufanyeje kunusuru hali?
Duh...na Bahati nzurii sana hakuna kësi ya ubakaji inayotoka dar hpo... Kësi zotë zipo mikoanii.. huko watoto wajanja sanaaaa
Mh!!Wakipata mimba waliwapa wasihangaishwe na kusulubiwa kwa kuwapa mimba wanafunzi. Kwanza ielewe wale si watoto bali ni watu wazima kimakuzi na kimaumbile
Haaaaa Haaaaa King Kong IIINa wa kiume pia wanaanza kuvuliwa ubingwa mapema mnoo.
Wazazi wawe makini na watoto wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haaaaa Haaaaa King Kong III
Haaaaa ngoja aje atoe maoni yake juu hili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akujee harakaa sanaaa.Haaaaa ngoja aje atoe maoni yake juu hili
King Kong III ongeza spidi unaitwa huku na cocasticAkujee harakaa sanaaa.
Amefika si umemuona tayari?Akujee harakaa sanaaa.
Haaaaa ngoja aje atoe maoni yake juu hili
King Kong III ongeza spidi unaitwa huku na cocast
Akujee harakaa sanaaa.
Ni kweli lakini cocastic kaongelea upande wa pili, Manake kajiongeza hajataka kubase upande mmoja, kasema hata upande wa pili nao wanavuliwa ubingwa sana tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasema ukwelii, kuna case imetokea hapa mtaani, mtoto wa 4m 2 kiume kuwa na mahusiano na kinyozi wa saloon.Hahahaa ndugu yako yeye anapenda sana mada hizo.