Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
tustiri na uchafu wa kuona uchi wako mpendwa. Kaa nao mwenyewe.Lissu akipata hata 10% tu mimi navua nguo hadharani. In other words, Lissu hawezi pata hata 10%.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tustiri na uchafu wa kuona uchi wako mpendwa. Kaa nao mwenyewe.Lissu akipata hata 10% tu mimi navua nguo hadharani. In other words, Lissu hawezi pata hata 10%.
Jukwaa ndio linajengwa
Bwanyeye Robert hawezi kupandikiza Rais wa Tanzania. Kesho tunamfyekelea mbali arudi Ubelgiji kupiga box
Wanamlinda mgombea urais
Ubarikiwe sana Mwalimu![emoji1545]
Acha ujinga basiJamani hali ya hewa ni mbaya sana leo, so mshaurini Lissu asisafiri kwa helikopta kwani ni hatari sana kwa usalama wake. Thank me later!
Ponda anawafuraisha wapuuzi wenzake.Sheikh Ponda anasema CCM ikikataa kushindwa option ya pili ni kuingia msituni
Duh...!!Jamani hali ya hewa ni mbaya sana leo, so mshaurini Lissu asisafiri kwa helikopta kwani ni hatari sana kwa usalama wake. Thank me later!
Naona hata hujamuelewaPonda anawafuraisha wapuuzi wenzake.
Atakatwa kichwa kabla hajaanza kuingia kwenye nyasi tu, achilia mbali msituSheikh Ponda anasema CCM ikikataa kushindwa option ya pili ni kuingia msituni
Hujamuelewa Sheikh Ponda Issa PondaAtakatwa kichwa kabla hajaanza kuingia kwenye nyasi tu, achilia mbali msitu