Daraja jipya la Selander lakamilika, Kufunguliwa Desemba 27, 2021

Pesa atoe mkorea, kujenga ajenge mkorea alafu hongera unatoa kwa magufuli
kwa kiasi kikubwa limeisha under JPM, mpe zake tano hata kama hukubaliani na siasa zake, miradi mingi tuu ya mabilioni imekufa kwa uongozi mbovu, be happy tumepata daraja zuri litapendezesha jiji na litasaidia kupunguza foleni for the next 100 years
 
Napendekeza na wao walipie kama sisi watu wa kigamboni haiwezekani vigogo wapite bure huku watu watu wa kawaida kulipishwa
 
All Credit to the Late JOHN POMBE MAGUFULI, jamaa alibana pesa ila tulijionea kwa macho pesa zikitengeneza na kuboresha miundombinu…

Aendelee kupumzika kwa Amani na kwa heshima yake ningependekeza liitwe Magufuli Bridge…
Hakubana Bali alidhurumu hela za watanzania ikiwemo mishahara, malimbikizo, madai na kutoza Kodi haramu na kuwambikia watu makosa ili walipe faini
 
Hapana lipo ombi maalum kutoka kwa wana mtandao wa Msoga.Wameamua litaitwa Mosses Nauye hakuna namna lazima tuwaenzi wazee wetu.
Huyo Nnaye kaifanyia kitu gani special nchi hii?
 
All Credit to the Late JOHN POMBE MAGUFULI, jamaa alibana pesa ila tulijionea kwa macho pesa zikitengeneza na kuboresha miundombinu…

Aendelee kupumzika kwa Amani na kwa heshima yake ningependekeza liitwe Magufuli Bridge…
Ni mkopo kutoka Korea ya kusini
 
Model iliyotumika inawanufaishaje wazawa?!
 
Model iliyotumika inawanufaishaje wazawa?!
Daraja limekamilika ndio muhimu na hatujaibiwa kama kawaida na usijifanye huelewi wapigaji wangepewa nafasi ya kulisimamia chance kubwa lisingekamilika, nina uhakika wafanyakazi wengi walikuwa watanzania na wamejifunza mengi tuu
 
Bwana Mjuaji umeacha umesahau hashtag ya #JPM

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…