IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika pitia taarifa ndio naiona jioni hii!Mkuu umechelewa kuipata
Hahahaaaa ungejikuta umepitaKatika pitia taarifa ndio naiona jioni hii!
Kwa kweli tena asubuhi ya kesho! Ila ningeziona zile roadblocks ndio ningeshangaa sana!Hahahaaaa ungejikuta umepita
Nembo imetugharimu bei gani sisi walipa kodi wazalendo?TAARIFA KUTOKA TANROADS KUHUSU DARAJA LA TANZANITE
View attachment 2466900
TRAB NA TRAT...Nembo imetugharimu bei gani sisi walipa kodi wazalendo?
Gharama thabiti za uboreshwaji wa nembo katika Daraja la Tanzanite kwa sasa hazipo wazi ingawa hili linalotekelezwa kwa sasa ni moja ya agizo kutoka kwa Mh. RAIS Dr. Samia Suluhu kwenda kwa waziri wa ujenzi pamoja na wakandarasi wa Daraja hilo..Nembo imetugharimu bei gani sisi walipa kodi wazalendo?
Tunaandaa sherehr za uzinduziTumerogwa na alieturoga kafa! Si wangefunga saa nne usiku hadi saa 12 asubuhi wafanye kazi hayo masaa nane kila siku ?