DART Mwendokasi
Official Account
- May 17, 2023
- 92
- 121
- Thread starter
-
- #221
Maoni tunasoma na tunayafanyia kazi, hata sabasaba tupo tukiendelea kutoa elimu na kupokea maoni kutoka kwa wateja wetu.Msome Kweli maoni na myafanyie kazi...Sio baadae mkimbie jumla jumla
Duuh mkuu . Haya ebu tutoe matong tong . UDART ni nn na DART ni nn ?kuna watu bado mnachanganya kati ya DART na UDART ni vitu viwili tofauti ila vyote vinafanya kazi katika BRT
Acha kutusem San we jamaa kapande Ubba au bolt Acha ubahiri I [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hawa watu hawawezi kitu. Hili shirika wapewe Dubai Oublic Transpot, muone kazi zinafanywaje.
Watanzania ni wezi, wavivu, wazembe, hawajuwi maana ya huduma kwa jamii ni nini. Au wapewe wanaotoa huduma London, Au Toronto.
Toronto sijawahi kusubiri basi zaidi ya dakika tano.
Dubai sasa hivi wameweka mpaka ""detector za kikwapa", ukiwa una kikwapa mlango wa basi haufunguki, unaoneshwa bafu ziko wapi na dawa za kuzuia kikwapa ziko wapi. Ni uchafuzi mkubwa wa mazingira na hatari kwa usalama wa abiria wengine.
Tanzania unakuta mtu ananuka kikwapa mpaka kinapalia, basi linakuwa na harufukuliko banda la nguruwe. Basi linatakiwa linuke upya wakati wote.
Public transport ikiendeshwa sawa ni nzuri kuliko uber nna bolt.Acha kutusem San we jamaa kapande Ubba au bolt Acha ubahiri I [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Asante kwa maoni yako tunaomba jina lako na namba ya simu iili utupe maelezo kamili msaada wako ni muhimu katika utekelezaji 😋Maoni yangu ni haya pichani.
1.Morocco ni sehem ya kupumzikia madereva wakija wanalalamika hamuwapi muda wa kupumzika.so kama hapo watu tumejaa na gari zimepaki madereva wapo chini wanachati wengine wamekaa vyumbani.
2.Askari wa kusimamia usalama na foleni wapo bussy na mambo yao tuView attachment 2688962
Ni nyinyi wenyewe ndio mlaumiwe kwa hilo. Kadi za Electronic zilishakuwepo mkaona mtoe muweke watu wakate kwa mikonoTunakamilisha mfumo wa ITS (inteligent transport system) ambao utasaidia sana katika upangaji wa route na ugawaji wa mabasi kulingana na mahitaji ya kituo husika, kwa sasa mambo mengi yanafanyika manually ndio maana wakati mwingine changamoto zinakuwepo.
Gari za Mloganzila zinaporudi Kimara elekezeni zipitie Kibamba Njiapanda, maana kunakuwa na abiria wengi halafu gari za Kibaha zikipita hazisimami sababu zinakuwa zimejaa abiria. Gari la Mloganzila linaporudi Kimara linakuwa na abiria wachache, hivyo linaenda na siti tupu huku kituo cha nyuma (Kibamba Njiapanda) kuna msululu wa abiria.KUMRADHI:
Leo asubuhi kuanzia majira ya saa moja na robo kumetokea hitilafu ya umeme katika kituo chetu kikuu cha Kimara jambo ambalo limesababisha huduma ya kukata tiketi kuzorota kwa muda, aidha backup system yetu pia ilipata changamoto kutokana na kuzidiwa na kazi, kwa sasa umeme umerejea na huduma inaendelea kutolewa kama kawaida, tunashukuru kwa wale wote waliopaza sauti kuhakikisha huduma inarejea kama kawaida. Tunawaomba radhi abiria wetu na wale wote waliokumbwa na kadhia hii.
# DART Usafiri wa umma nadhifu.
Tunashukuru kwa maoini na ushauri wako,tunaliangalia suala hili kwa ukaribu kuona namna bora ya kulishughulikia.Gari za Mloganzila zinaporudi Kimara elekezeni zipitie Kibamba Njiapanda, maana kunakuwa na abiria wengi halafu gari za Kibaha zikipita hazisimami sababu zinakuwa zimejaa abiria. Gari la Mloganzila linaporudi Kimara linakuwa na abiria wachache, hivyo linaenda na siti tupu huku kituo cha nyuma (Kibamba Njiapanda) kuna msululu wa abiria.
Na sababu ya wao kuzuia watu kupiga picha vituoni ilikuwa kulinda uzembe wao. Hawataki umma uone jinsi wanavyozembeaMuda watu wanaosubiri kituo cha mwendokasi gerezani ni muda ambao unatosha mtu kulala usingizi ukaisha🙌
Ukweli haufichiki, hutafuta njiaNa sababu ya wao kuzuia watu kupiga picha vituoni ilikuwa kulinda uzembe wao. Hawataki umma uone jinsi wanavyozembea
Mfumo wa kadi unakamilishwa hivi karibuni kwa sasa kadi zimekamilika tunasubiri mageti ya kuingilia vituoni ili tufanye configuration na kuanza kutoa kadi hizo kwa wateja wetu , ni suala la muda tu huduma hii itakuwa nzuri sana kuliko unavyofikiria. Serikali sikivu ya Mh. Samia Suluhu Hassan iko kazini yajayo yanafurahisha. Aidha suala la uchache wa Mabasi nalo limeshapatiwa mwarobaini wake stay tuned.Tafadhali sana rudisheni mfumo wa kuscan na ikiwezekana mlete kadi za DART kama wanavyofanya kwenye kivuko. Hii itazuia sana upotevu wa fedha na usimamizi mzuri wa huduma.