Hawa watu hawawezi kitu. Hili shirika wapewe Dubai Oublic Transpot, muone kazi zinafanywaje.
Watanzania ni wezi, wavivu, wazembe, hawajuwi maana ya huduma kwa jamii ni nini. Au wapewe wanaotoa huduma London, Au Toronto.
Toronto sijawahi kusubiri basi zaidi ya dakika tano.
Dubai sasa hivi wameweka mpaka ""detector za kikwapa", ukiwa una kikwapa mlango wa basi haufunguki, unaoneshwa bafu ziko wapi na dawa za kuzuia kikwapa ziko wapi. Ni uchafuzi mkubwa wa mazingira na hatari kwa usalama wa abiria wengine.
Tanzania unakuta mtu ananuka kikwapa mpaka kinapalia, basi linakuwa na harufukuliko banda la nguruwe. Basi linatakiwa linuke upya wakati wote.