FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Tuwachane na hili shirika la umma, apewe tajiri mmoja aendeshe hii kampuni, kwisha kazi.
Hakuna cha umma kitachoendelea nchi hii. Shirika hili libinafsishwe tu.
Tumeanza toka kwa Nyerere huko, hakuna shirika la umma la usafiri lililobaki salama, mpaka leo hii.
Tulirithi DMT tumeiuwa, tukkaifanya UDA tumeiuwa, umekuja huu utumbo wa DAET tumeuuwa.
Kwanini tunarudia makosa yaleyale? Libinafsishwe 100%, serikali ingoje kodi tu.
Hakuna cha umma kitachoendelea nchi hii. Shirika hili libinafsishwe tu.
Tumeanza toka kwa Nyerere huko, hakuna shirika la umma la usafiri lililobaki salama, mpaka leo hii.
Tulirithi DMT tumeiuwa, tukkaifanya UDA tumeiuwa, umekuja huu utumbo wa DAET tumeuuwa.
Kwanini tunarudia makosa yaleyale? Libinafsishwe 100%, serikali ingoje kodi tu.