Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 640
- 651
Huu mradi umewashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
izo LEDs zilikuwepo mpaka ndani mzee mbonaZinatakiwa ziwe kwenye gar kabisa maana mtu anaweza pandia uko katikati
Hakuna taarifa iliyoeleza kuwa usafiri utaanza mwezi huu wa kumi isipokuwa kulikuwa na taarifa za mradi kukabidhiwa serikalini baada ya mkandarasi kumaliza ujenzi.Mwendokasi wa mbagara gerezani utaanza lini? Mana taarifa mliyotoa ulitarajiwa uanze mwezi huu wa 10,sasa tuna siku 6 tu tumalize mwezi.
Mfumo huu ulikuwepo awali lakini ilitokea changamoto ukaharibika ndiomaana hata utaratibu wa kutangaza vituo haupo, kwa sasa tuko kwenye hatua za kununua mfumo wa ITS inteligent transport system ambao utakuwa ukitumika kuongoza magari, kupanga ruti, sambamba na masuala yote yanayohusu vituo, muda ambao abiria atatumia kutoka sehemu moja hadi nyingine n.k.Mi nilikuwa nashaur mabasi yote yawe na led light mbele na pembeni, led light zenye maandishi yanayobadilika yanayoelezea bus linatoka WAPI na linaenda WAPI ,maan dar inafikiwa na wagen wengi unakuta mtu kangia kwenye gar ndo anauliza hii gar inaenda wap kitu ambacho hakifai,kingine wale kama Askari sijui migambo waliopo pale wanatakiwa wakimuona mtu anazunguka zunguka wamfuate WA muulize unashida gan maana wao wanasubir Waulizwe unakuta kuna kunautaratibu WA folen mgen hajui anaona tu watu wamesimama kumbe wako kwenye folen we utashangaa Tu gar ikija wanageukiana,sasa Kwa mgen unakuta hajui chochote kinachoendelea unakuta kazagaa Tu lakin wale Askari wangekuwa wanamuwahi kumuliza wangemsaidia na kumwelezea utaratibu
Hakuna taarifa iliyoeleza kuwa usafiri utaanza mwezi huu wa kumi isipokuwa kulikuwa na taarifa za mradi kukabidhiwa serikalini baada ya mkandarasi kumaliza ujenzi.
Hamna mfumo mzuri wa kupeana taarifa ndani ya taasisi. Sasa mimi nakwambia daladala zipo zimeanza kazi zinatoka Makumbusho kupitia, Mwananyamala, Studio, Magomeni, Manzese, Ubungo hadi Mbezi na mimi nipo nimepanda muda huu.Hakuna ukweli katika jambo hilo, kwanza daladala uwezo wake ni mdogo katika kubeba abiria wengi, pili miundombinu ya vituo hairuhusu kushusha na kupakia abiria kwani daladala ni fupi na hazijatengenezwa kwa ajili ya BRT.
Ni mnatumia njia ya BRT au vituo vya pembeni ya barabara?.Hamna mfumo mzuri wa kupeana taarifa ndani ya taasisi. Sasa mimi nakwambia daladala zipo zimeanza kazi zinatoka Makumbusho kupitia, Mwananyamala, Studio, Magomeni, Manzese, Ubungo hadi Mbezi na mimi nipo nimepanda muda huu.
Zinatumia nji ya kawaida ila madereva wajanja. Mfano yakitoka Mbezi wanaita abiria wa Ubungo Manzese Magomeni ambapo nauli ni 600. Wakifika Magomeni wanashusha abiria wote wanaanza kupakia wa makumbusho. Ya asubuhi nilipandia studio nikashukia Manzese nilikuwa na shida zangu.Ni mnatumia njia ya BRT au vituo vya pembeni ya barabara?.
That's why jamaa anakwambia daldala ni fupi haziwezi kutumia vituo vya Mwendokasi!.
Upo nje ya mada kabisa, nadhani utakuwa uelewi issue ya kuongeza mabasi 15!.Zinatumia nji ya kawaida ila madereva wajanja. Mfano yakitoka Mbezi wanaita abiria wa Ubungo Manzese Magomeni ambapo nauli ni 600. Wakifika Magomeni wanashusha abiria wote wanaanza kupakia wa makumbusho. Ya asubuhi nilipandia studio nikashukia Manzese nilikuwa na shida zangu.
Hii ndio mwanzo wa mwisho. Hii kampuni imefika kikomo chake.kuna siku nimekaa pale mbezi kwenye foleni lisaa hakuna basi inayokuja kupakia abiria
Pia zinaweza enda Ilemela, pasiansi had airport itasaidia sana kupunguza adha ya usafiri kwa mkoa wa mwanzaAsante kwa kuja.
Ni lini hayo mabasi mtayapeleka Mwanza pia ili wananchi wapate huduma ya usafiri..??
Sababu jiji la Mwanza limekua na tayari limechangamka na mkituletea hizo Bus zikaanzia route ya Kisesa, Igoma, Neshno, Buzuruga, Mabatini, Nata, Pepsi, Mkuyuni, Nyegezi, Buhongwa, Nyashishi hadi Usagara and Return.
kinachozungumziwa hapa ni daladala kupita kwenye njia maalum za BRT sio route za kawaida za njia za mitaani ambazo zimeainishwa na Mamlaka ya LATRA. habari hii ilisema daladala kuanza kutumia njia za mwendokasi ili kusaidia mabasi jambo ambalo sio sahihi. Umewahi kuona wapi daladala inapita kwenye barabara za kasi? magari binafsi yenyewe na ya serikali na vyombo vya ulinzi unaona jinsi yanavyozuiliwa. tuache kuleta taharuki, niletee picha humu ya daladala inayosaidia Mabasi kazi kama ipo.Hamna mfumo mzuri wa kupeana taarifa ndani ya taasisi. Sasa mimi nakwambia daladala zipo zimeanza kazi zinatoka Makumbusho kupitia, Mwananyamala, Studio, Magomeni, Manzese, Ubungo hadi Mbezi na mimi nipo nimepanda muda huu.
Serikali iko kazini na kama ulifuatilia juzi ziara ya Waziri Mchengerwa alitoa maagizo ya kuongeza watoa huduma zaidi ya mmoja ili kuleta ushindani huo ndio mwelekeo tuvute subra mambo mazuri yanakuja, hakuna mtu yeyote anayefurahia watanzania kuteseka kwa adha ya usafiri ni suala la muda tu.Baada ya magari kuongezeka yanapungua.. just imagine gari ya kwanza inaharibika kimya la pili linaharibika kimya 3 4 5 6 7 8 9 10 mpaka 70 kimya hapa kuna watu au genge la wahuni..
Watu wanashindwa na kampuni binafsi ni nani anaweza kukubali gari zake zote ziwe juu ya mawe awa watu wafunguliwe kesi za uhujumu uchumi tu
Baada ya magari kuongezeka yanapungua.. just imagine gari ya kwanza inaharibika kimya la pili linaharibika kimya 3 4 5 6 7 8 9 10 mpaka 70 kimya hapa kuna watu au genge la wahuni..
Watu wanashindwa na kampuni binafsi ni nani anaweza kukubali gari zake zote ziwe juu ya mawe awa watu wafunguliwe kesi za uhujumu uchumi tu
Afsa UsafirishajiSerikali iko kazini na kama ulifuatilia juzi ziara ya Waziri Mchengerwa alitoa maagizo ya kuongeza watoa huduma zaidi ya mmoja ili kuleta ushindani huo ndio mwelekeo tuvute subra mambo mazuri yanakuja, hakuna mtu yeyote anayefurahia watanzania kuteseka kwa adha ya usafiri ni suala la muda tu.
Wanakera sana hawa halafu mtu anakuja hapa anajibu tu simple simple kwamba eti serikali iko kazini.Yani kati ya usafiri unaokera ni huu wa mwendokasi.
Kukaa kituoni kwa nusu saa na zaidi huku mabasi yakiwa yanaunguruma na kupaki bila sababu huku watu wamefurika na hakuna mtu anaechukua hatua. Mfano ni hapo kivukoni