DART Mwendokasi
Official Account
- May 17, 2023
- 92
- 121
- Thread starter
-
- #381
Pole sana kwa kadhia iliyokukuta wakati mwingine piga simu ya huduma kwa wateja bur 0800110147 ili hatua zichukuliwe kwa haraka, aidha usisahau kutaja muda na mahali ambapo tatizo husika limetokea.Wafanyakazi wenu hawawajali abiria kabila. Mfano mzuri ni mkaguzi wa tiketi wakati wa kuongia kwenye mabasi aliyeko kituo cha hospitali ya Muhimbili Upanga. Ni mwanamme wa makamo lakini ananyanyasa na kuwafokea hovyo abiria ambao baadhi ni wagonjwa. Anachafua taswira ya UDART
Chalamila aliwapa siku 14 mmalize shida za Mwendokasi. Mbona ndio mmeongeza matatizo?Pole sana kwa kadhia iliyokukuta wakati mwingine piga simu ya huduma kwa wateja bur 0800110147 ili hatua zichukuliwe kwa haraka, aidha usisahau kutaja muda na mahali ambapo tatizo husika limetokea.
sema udart kalemewa sio dart, dart hana mabasi na wala hamiliki mabasiAongezwe mwekezaji mwingine wa mwendokasi wawe wawili kuleta ushindani. DART kaelemewa. unaweza kukaa kituoni masaa matatu unasubiri gari ukiwa umesimama kwenye mstari wa foleni.
Mmeshaufata ushauri upi kati ya maoni mliyopewa hapa?View attachment 2625074
DART Tumeanzisha ukurasa huu rasmi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kwa lengo la kupata maoni, ushauri , mrejesho na hata malalamiko yanayohusu huduma zetu. Aidha tunawahakikishia watumiaji wa huduma zetu kuwa maoni, ushauri, malalamiko, Pamoja na hoja zenu juu ya huduma zetu yatafanyiwa kazi kwa uharaka na hatua stahiki zitachukuliwa ili kuboresha huduma.
Kwa kupata msaada wa haraka kuhusu huduma zetu unaweza kutupigia simu 0800110147 ni bure. Kuanzia saa 11 alfajiri hadi saa tano na nusu usiku
Pia unaweza kutufuatilia katika tovuti ya www.dart.go.tz na mitandao yetu ya kijamii ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka ya FACEBOOK, INSTAGRAM, (X)TWITTER, LINKEDIN, YOUTUBE.
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka
Anuani
S.L.P 724, 16103
Ubungo Maji, Morogoro Road
Dar es Salaam, Tanzania
Barua pepe: info@dart.go.tz.
#usafiri wa umma nadhifu
#mwendokasi app
Sidhani kama kuna staff wao anapita humu.Hawa longo longo nyingi, hawana logistic yoyote ya usafiri! Hovyo hovyo kabisa!Mmeshaufata ushauri upi kati ya maoni mliyopewa hapa?
Mashirika ya umma Tanzania ni machimbo ya watu kujiokotea tu.Sidhani kama kuna staff wao anapita humu.Hawa longo longo nyingi, hawana logistic yoyote ya usafiri! Hovyo hovyo kabisa!
Uchache wa Mabasi ndio unasababisha adha hii ,lakini maelekezo ya serikali ni kutafuta mtoa huduma mwingine ambaye atashindana na huyu wa sasa ili kuboresha huduma, maelekezo hayo yanafanyiwa kazi na baada ya muda mfupi mtaona matokeo.
Hapa Mbezi ni kituo cha maombezi. Mmefell big time!! Chalamila zile siku 14 zilikuwa show off? Usafiri Mbezi hovyo kabisa!!
Itakuwa over staffing!! Running cost kubwa kuliko faida! TR- Mchechu piga chini hili shirika!!Mkuu yale mabasi kipindi mradi unazinguliwa yalienda wapi hadi kusababisha upungufu huu uliopo?
Yamelala mabovu yote.Mkuu yale mabasi kipindi mradi unazinguliwa yalienda wapi hadi kusababisha upungufu huu uliopo?
Nyie dart kazi yenu nini?Uchache wa Mabasi ndio unasababisha adha hii ,lakini maelekezo ya serikali ni kutafuta mtoa huduma mwingine ambaye atashindana na huyu wa sasa ili kuboresha huduma, maelekezo hayo yanafanyiwa kazi na baada ya muda mfupi mtaona matokeo.
Upigaji mwingi. Kila mtu anajichotea malinza umma. Mali ya umma ina uchungu upi?Itakuwa over staffing!! Running cost kubwa kuliko faida! TR- Mchechu piga chini hili shirika!!
Asante kwa kuniweka sawasema udart kalemewa sio dart, dart hana mabasi na wala hamiliki mabasi