DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

Pole sana kwa kadhia iliyokukuta wakati mwingine piga simu ya huduma kwa wateja bur 0800110147 ili hatua zichukuliwe kwa haraka, aidha usisahau kutaja muda na mahali ambapo tatizo husika limetokea.
 
Tatizo h ili lilitukumba Jana jumatano tarehe 22 Novemba saa moja jioni. Huyo mfanyakazi anafahamika has a kwa abiria wa Muhimbili kwenda Mbezi
 
Pole sana kwa kadhia iliyokukuta wakati mwingine piga simu ya huduma kwa wateja bur 0800110147 ili hatua zichukuliwe kwa haraka, aidha usisahau kutaja muda na mahali ambapo tatizo husika limetokea.
Chalamila aliwapa siku 14 mmalize shida za Mwendokasi. Mbona ndio mmeongeza matatizo?
Na route ya Mbagala inaanza lini?
 
Aongezwe mwekezaji mwingine wa mwendokasi wawe wawili kuleta ushindani. DART kaelemewa. unaweza kukaa kituoni masaa matatu unasubiri gari ukiwa umesimama kwenye mstari wa foleni.
 
Aongezwe mwekezaji mwingine wa mwendokasi wawe wawili kuleta ushindani. DART kaelemewa. unaweza kukaa kituoni masaa matatu unasubiri gari ukiwa umesimama kwenye mstari wa foleni.
sema udart kalemewa sio dart, dart hana mabasi na wala hamiliki mabasi
 
Hapa Mbezi ni kituo cha maombezi. Mmefell big time!! Chalamila zile siku 14 zilikuwa show off? Usafiri Mbezi hovyo kabisa!!
 
Mmeshaufata ushauri upi kati ya maoni mliyopewa hapa?
 
Sioni umuhimu wa nyie kuwepo hapa Jamii forum! Hovyo kabisa usafiri wenu!!
 
Uchache wa Mabasi ndio unasababisha adha hii ,lakini maelekezo ya serikali ni kutafuta mtoa huduma mwingine ambaye atashindana na huyu wa sasa ili kuboresha huduma, maelekezo hayo yanafanyiwa kazi na baada ya muda mfupi mtaona matokeo.

Mkuu yale mabasi kipindi mradi unazinguliwa yalienda wapi hadi kusababisha upungufu huu uliopo?
 
Hapa Mbezi ni kituo cha maombezi. Mmefell big time!! Chalamila zile siku 14 zilikuwa show off? Usafiri Mbezi hovyo kabisa!!

[emoji28][emoji28] kutokana na kero ya kusafiri abiria kupanga foleni muda mrefu wajasiria injili wamegeuza kanisa na ombaomba wamegeuza baggers street.
 
Uchache wa Mabasi ndio unasababisha adha hii ,lakini maelekezo ya serikali ni kutafuta mtoa huduma mwingine ambaye atashindana na huyu wa sasa ili kuboresha huduma, maelekezo hayo yanafanyiwa kazi na baada ya muda mfupi mtaona matokeo.
Nyie dart kazi yenu nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…