Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
1. Kuna vile vibao vya kuonesha gari inaenda wapi kwanini vinaandikwa kwa mkono ilihali haya magari yanakuja na system nzuri ya maandishi ya ki electroniki? havipendezi na vinakaa kama uchafu. Kama mmeshaharibu zile system naomba watafute wachoraji wazuri wa vibao wachore vya kupendeza
2. Ubovu wa viti na milango ni aibu naomba vifanyiwe kazi
3. Utaratibu wa kupanda mabasi uwe wa mistari kwenye kila kituo
4. Waongeze magari kwenye routr zote hususan mida ya jioni na asubuhi
5. Naomba msijaze sana abiria kwenye mabasi ni hatari kwa afya zetu na inanchangia uchakavu kwa haya magari. Mwanzoni mlikuwa hamruhusu watu kukaa mlangoni sasa hivi hata milango kufunga inakuwa tabu!
2. Ubovu wa viti na milango ni aibu naomba vifanyiwe kazi
3. Utaratibu wa kupanda mabasi uwe wa mistari kwenye kila kituo
4. Waongeze magari kwenye routr zote hususan mida ya jioni na asubuhi
5. Naomba msijaze sana abiria kwenye mabasi ni hatari kwa afya zetu na inanchangia uchakavu kwa haya magari. Mwanzoni mlikuwa hamruhusu watu kukaa mlangoni sasa hivi hata milango kufunga inakuwa tabu!