DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

inawezekana Jojo aliona mwamba anawachanganya mno!........ nadhani nimeeleweka!
 

Rafiki hapa umekosea sana, inainyesha unamchukia Jokate? au umeandika kupata sifa fulani??? JOKATE mwenyewe kashtuka nusra roho imtoke, huyu Mtela HAJAANZA LEO NA JPM kasema wazi kabisa kuwa ameishaonywa mara nyingi sana

unataka kusema mkono au macho ya serikali yako kwa wakuu wa wilaya??

hapo umemkosea Jokate sana, na kama unajiheshimu, TUBU au kiri kuwa umeandika kimakosa kabisa

kibaya umeandika kama vile una uhakika kabisa kabisa?? aisee , wewe ni muuaji mchawi
 
Wakagombanie wanamme na DC. Kwani Mtela ni mwanamke?
Umemsikia Rais alivyomwambia DAS mpya ?Kamwambia sasa wakagombanie wanaume na DC. That means Jocate na Mtela walikuwa wanagombana.
 
Duuh Kuna mke wa mtu mmoja nimemtongoza Ijumaa. Nawaza hapa Kama bado nitakuwa katika nafasi yangu.
 
Ndiyo mjue nyinyi wategemea mbeleko kuwa hamna uhakika na kibarua mlicho saidiwa kwa hisani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…