DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Shida ni kujaza vijamaa vya kutoka kwenye kitengo ambavyo havijakomaa kimaadili or kuaminishwa wanaweza kufanya chochote.
Ushauri: Baadhi ya nafasi serikalini, umri, weledi, uzoefu na nidhamu vitangulie kwanza na si vinginevyo kupunguza hii hali ya kutumbua kila mara huku madhara makubwa tayari yametokea katika sehemu ya kazi.
 
Tatizo la huyu Bwana ni kupenda kudhalilisha watu, wakati yeye hapendi kuguswa hata Kwa tuhuma za kweli. Pengine tabia hii inakuzwa na wateule wake serikalini wanaopenda kumuita 'Baba' badala ya kumchukulia katika mukhtadha wa mahusiano ya kiofisi; urais. Lakini tusisahau siku Jemedari Goliath alipoadhirika mbele ya kijana Daudi. Kudhalilisha watu, hata kama umewaajiri wewe, si Jambo jema hata kidogo.
 
Eti ampangie kazi nyingine! Mtu mkware kwenye utumishi wa umma hana nafasi. Kama unamtaka kakae nae kwako.
 
Mzee kumbe anatumia pesa sana?
 
Hakuna tena wa kumkubalia kumpatia mzigo Mwampamba maana sasa anaenda kuwa katibu kata tena huko maporini tu hata umeme atausikia tiibiisiii
Dah! Sema kulamba miguu ndio shida, ningekuwa mie ningekataa.. huwezi nitupa porini
 
Waliokutumia wakishajilidhisha kwamba umeisha lazima utupwe hizo ni salamu kwa waunga juhudi wote
 
Safi sanaa, sio tu wake za watu hata kutongoza tongoza wanawake sio vizuri ni matumizi mabaya ya nafasi uliyonayo.
 
Hilo ndiyo tatizo kubwa lililopo kwa sasa, lkn hiyo inaletwa na ni jinsi gani hiyo ajira ya mhusika ilipatika vipi.
 
Nimeishi sana Maneromango shule aliyosoma Jaffo, weekend kama hii kule ni ngoma kwa kwenda mbele, ukiwa na tamaa kama za akina Mwampamba lazima ule familia nzima! Nadhani ndio yaliyotokea, kala kila kitu na hawajui kusema hapana
 
Nimeishi sana Maneromango shule aliyosoma Jaffo, weekend kama hii kule ni ngoma kwa kwenda mbele, ukiwa na tamaa kama za akina Mwampamba lazima ule familia nzima! Nadhani ndio yaliyotokea, kala kila kitu na hawajui kusema hapana
Aaah...! Ndio maana huyo uliemsema ana wake 4?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…