njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
-
- #81
mnalamba asali siyo? mnataaaamba wenyeeeweeee wacha weeeeeeWaache watambe tu hata enzi za yule muovu mlitamba sana, kutesa kwa zamu na tutaupiga mwingi hadi tufidie gepu lote alotupiga yule muovu.
š š š š š škikosi kazi hicho kina hasira kwa nini wanuka jasho mnahoji ma kodi mengi nyie lipeni tu zitafunwe mtazikuta kwenye reports za CAG na hamna lolote mtafanya
Wivu tu unakusumbua[emoji23][emoji23]Uko sahihi kabisa, tunasema serekali ipunguze matumizi yasiyo ya lazima, mfano hayo mashangingi ya nini wakati hali ni ngumu? Bunge linaendelea kukaa kwanini wakati hawana jipya wanalojadili, kwani kila kitu cha serekali wanapitisha kwa 100%. Rais naye kila siku kiguu na njia na msafara kama anaelekea peponi. Kwanini mambo hayo yasipungue au kusimama kabisa?
Bora yule muovu aliewakata mikono wezi 200 na ku favour wanyonge million 59.8 kuliko malaika anaekumbatia wezi 200 na kunyanyasa wanyonge million 59.8Waache watambe tu hata enzi za yule muovu mlitamba sana, kutesa kwa zamu na tutaupiga mwingi hadi tufidie gepu lote alotupiga yule muovu.
Tuqchane na data za kwenye makaratasi tuje kwenye uhalisia..Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani?
Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa Drc congo wana vita na waasi miaka 25 sasa , tunahitaji maombi maalumu nchii hii hali tete sana
View attachment 2214602
View attachment 2214603
Kutesa kwa zamu, harudi tena yule, mkiambiwa katiba mpya ndio dawa mnajifanya hamuelewi sasa isomeni namba.chawa ,embu kuweni na huruma basi jamani, khaaa ni kodi inapatikana tu kwenye mafuta? ili ku maintain life style ya kulamba asali ya maboss zenu...huu ni ubinafsi wa hali ya juu ,kikosi kazi mmejazwa social media kila platform kuwakumbusha wanuka majasho kwamba ni haki yao kupigika na kuishi maisha magumu..laana iwe kwenu
Bila kusahau na mishahara ipunguzwe kwa kila idara za nchi serikali na binafsi.Wewe jamaa ndy Hamnazo kabsaa..kumbe Rea serkali inatulamba kotekote, mana wananchi tukinunua umeme tu...umelambwa hela,halafu hili la kuwekwa makodi mengi si ndy waoo?kwanini waliweka makodi mengi kwenye bidhaa mkakati kama hyoo? Kuna majizi manyonyaji yanatupopoa wananchi bila huruma hapa. Kwa nchi nilizotembea hii nchi ndy inakodi nyingi sana. Serikali inakusanya hela nyingi sana ila znaenda mifukoni mwao hawa WAJANJA. mafuta futa kodi halaf punguza mianya ya Upigaji basi.
Aliingiza shilingi ngapi mzee mbona unaongea kama choko wewe?Swala la wizi lipo duniani kote, hata huko china m'badhirifu wa fedha za uma ananyongwa lkn bado wapo wezi,
Tatizo mkiona miradi imepungua kasi mnalalamika mkiambiwa mlipe kodi mnahisi mnaonewa,
Mbona magu alituingizia kodi za magari kwenye mafuta hamkulalamika hivi? Yaani magari yote sasa hivi hayalipi kodi kila mwaka mzigo wote tulibebeshwa wananchi maskini kwa kua aliogopeka hakuna aliepiga kelele kukemea lile leo wamenogewa ndio mnatokwa povu[emoji23][emoji23]
Mama piga kazi adi mafuta yafike elfu 6 na huko ili mjue sisiemu sio chama kinachofaa kuongoza nchi.
Hujui unachoandika japo unaonekana una confidence sana.Hii sio dharula mzee, hata USA bei iko juu, hii ishu ya bei iko Dunia nzima kutokana na uhaba wa bidhaa yenyewe. Bei ya mafuta ni kitu kinachopanda na kushuka, huwezi toa kodi eti kisa mafuta yamepanda, kodi itaendelea kukusanywa vile vile.
Mtakubali kupunguzwa mishahara au kupunguzwa dawa na vifaa tiba hospitalini pia??
Tunapaswa kutoa elimu juu ya namna uchumi unaenda, hili si suala la CCM au CHADEMA au ACT ni national matters, hivyo lazima tuelewe chanzo chake na effect yake. Ni suala la muda tu kila kitu kitarudi kwenye hali yale ya kawaida.
Tusiwe watu wa kulalamika sana, Price ya mafuta sio kwamba ifanane kwa nchi zote, hata hapa Afrika mashariki, bei ya mchele iko tofauti baina yetu, ni kutokana na uwekezaji nk.
Kwa mfano Kenya wao hutumia kiasi kikubwa mno cha mafuta ukilinganisha na sisi hivyo lazima watapata punguzo la bei as we know kadiri unavyonunua mzigo mkubwa ndipo disccount hupatikana.
Ndio manake kwa raha zetu, mlitutesa sanamnalamba asali siyo? mnataaaamba wenyeeeweeee wacha weeeeee
Wezi gani aliowakata mikono? Zaidi ya kutesa na kuwapeleka kusikojulikana,Bora yule muovu aliewakata mikono wezi 200 na ku favour wanyonge million 59.8 kuliko malaika anaekumbatia wezi 200 na kunyanyasa wanyonge million 59.8
Wakati mheshimiwa anahojiwa na Tido,alikiri mwenyewe kuwa miradi ya REA itaendelea ila kwa kasi ndogo,na wewe unasema tuendelee kulipa Kodi ya REA kwenye mafuta ili miradi yake iende kasi,Mkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.
Mpuuzi mmoja anakuambia eti mbona nchi x au y ni bei rahisi kuliko sisi na yanapita kwetu.
Haangalii kodi tulizoziweka humo ili kukimbiza miradi ya REA na Reli na TARURA
Mtu huyo huyo kesho kodi hiyo ikiondolewa na miradi ya REA na Reli ikafia mbali ataandika tena kulalamika
Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
kikosi kazi mko bize kuharibu hii mijadala ya wanuka jasho kwa kila mbinu naona umehamia plan b sasa...hayo mambo yenu ya sukuma gang,msoga gang, mchambawima gang ni upuuzi wenu nyie hapa najadili upeo mdogo wa jinsi nchi hii inavyoendeshwa , hii ni dharura lakini watu wanaona poapoa tu yaaniNdio manake kwa raha zetu, mlitutesa sana
Kwa Hawa watetezi wa huu upandaji Bei mafuta hakuna hata mmoja anaweza elezea suala la zanzibar..mkitoa mifano ya Kenya,Rwanda,Burundi,DRC ni wanakuja Kama nyuki utasikia tunatofautiana sijui Kodi,Mara bandari wanayochukulia, ila ukigusa mfano was zanzibar,hakuna anaejibu,mnawachosha tu maana ni Kama wamekariri majibuZanzibar nao wanachukua kutoka nigeria kupitia angola!? Maana degree zetu za ufugaji nyuki hazijuwi lolote.
Tatizo ni tozo nyingi kwenye kila lita ya mafuta.Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani?
Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa Drc congo wana vita na waasi miaka 25 sasa , tunahitaji maombi maalumu nchii hii hali tete sana
View attachment 2214602
View attachment 2214603
Bajeti ya Tanzania tokea enzi za baba wa Taifa inategemea mafuta ya petroli , vinywaji vyenye kilevi na soda ,kwahiyo serikali ikipunguza kodi kwenye petroli itakuwa imepunguza mapato yake. Vita ya Ukraine na Urusi inachangia upandaji wa bei ya mafuta kwa sababu ya vikwazo. Kampuni kubwa za petroli duniani ni za nchi za magharibi - ambazo kwa wakati huu hazinunui wala kuuza mafuta ya Urusi. Hii inasababisha uhaba wa Petroli duniani- kwahiyo bei katika soko la dunia inapanda. Vile vile kampuni yoyote ile ya mafuta itakayokutwa inakiuka vikwazo hivyo itapigwa faini kubwa na kutengwa na mataifa ya Marekani na Ulaya. Nini kifanyike kupunguza ukali wa bei ya mafuta 1) Tuombe vita hii ya Urusi imalizike haraka, 2) Serikali na watu binafsi tubane matumizi ya mafuta, 3) Serikali ikubali kusamehe pato lake la kutoka kwenye petroli na kusimamisha miradi mingine ambayo haina uharaka-kwamfano uhamiaji wa kwenda Dodoma na kadhalika.wewe na wewe umeandika utumboo. Wenzetu hawana bandar bdo bei iko chini. Kwaiyoo wakichukulia kenya na angola ndo bei iwe chini.
Kama ndo hvyoo mafuta na sisi tuchukulie kenya na angalo hiyo bandar tufugie mbuzi.
Tusi liko wapi?Huwezi kujenga hoja bila matusi?