David Kafulila: Hakuna siku Serikali itaacha kukopa kwani hata Marekani na China nao wanakopa zaidi ya Tanzania

Kama kawaida ya Kafulila uzi unaaznishwa na ID anazozilipa nyingine zinakuja kutoa comment na hata hapa naona amekuja na ID yake kujibu.

Anafikiri humu wote ni wajinga kama yeye.
 
Ukiona mtu kaalikwa kwenye mdahalo Alafu anajifananisha nchi yake na marekani ujue hana AKILI.ni chawa tu huyo.Na huyu kafulila alikuwa na Akili huko nyuma siku hizi anatembea kichwa chini miguu juu.
 
Kafulila , Hivi ni kiongozi yupi alimuita Tumbili, kipindi kile wakuu,? na alifikilia nini kutumia jina la mnyama uyu?

Maana Tumbili huwa na vituko sana, ana weza kubanwa na chatu akawa anapiga kelele huku anafanya vituko
 
Mkuu hebu dadavua vizuri naona kama unahoja ya maana sana
 
Kafulila , Hivi ni kiongozi yupi alimuita Tumbili, kipindi kile wakuu,? na alifikilia nini kutumia jina la mnyama uyu?

Maana Tumbili huwa na vituko sana, ana weza kubanwa na chatu akawa anapiga kelele huku anafanya vituko
Wewe Jenga hoja acha maneno
 
Tuna kopa kwa sababu Marekani na China wanakopa au tuna kopa kwa sababu tuna ulazima wa kukopa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…