David Kafulila: Taasisi zinazoongozwa na Wanawake zinapata mafanikio karibu mara 10 zaidi

David Kafulila: Taasisi zinazoongozwa na Wanawake zinapata mafanikio karibu mara 10 zaidi

RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st

View attachment 2931206
View attachment 2931263View attachment 2931265
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka MITATU ya Urais lakini hayuko Mtanzania mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anaweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda labda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari.

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama Wanaume.

#Samia Mitano Tena,
Hapa Bongo tuna nmb Mwanamke na CRDB Mwanaume,Kafulila ebu type taarifa hiyo ya mara kumi zaidi ya CRDB .


Tulikuwa na awamu ya tano mwanaume na awamu ya sita
Tupe hiyo mara kumi zaidi katika thamani ya Dola ya kimerekani kuepusha utofauti unaosababishwa na kushuka Kwa thamani wa Pesa yetu
 
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st

View attachment 2931206
View attachment 2931263View attachment 2931265
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka MITATU ya Urais lakini hayuko Mtanzania mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anaweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda labda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari.

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama Wanaume.

#Samia Mitano Tena,
Samia oyee
 
Nikweli wanaume sisi ni wezi sana,

Unakuta mtu anamichepuko 6 karibu Kila mkoa,

Unataka gari zuri mwanamke akuone,

Ukajenge kijijini,

Wanaume sisi ni wizi wizi wizi
Jiongelee wewe , honest gentlemens waliotulia wapo, tabia zako usibebeshe wengine
 
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st

View attachment 2931206
View attachment 2931263View attachment 2931265
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka MITATU ya Urais lakini hayuko Mtanzania mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anaweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda labda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari.

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama Wanaume.

#Samia Mitano Tena,
Hakuna chochote wanawake ni watu dhaifu sana hasa kwa wanaume
 
Angemuachia Jesca Kishoa awe kichwa cha familia yake hiyo ndoa yao isingekufa bila shaka!
 
Back
Top Bottom