David Kafulila: Taasisi zinazoongozwa na Wanawake zinapata mafanikio karibu mara 10 zaidi

David Kafulila: Taasisi zinazoongozwa na Wanawake zinapata mafanikio karibu mara 10 zaidi

Nikweli wanaume sisi ni wezi sana,

Unakuta mtu anamichepuko 6 karibu Kila mkoa,

Unataka gari zuri mwanamke akuone,

Ukajenge kijijini,

Wanaume sisi ni wizi wizi wizi
Nakuunga mkono asilimia mia moja , sisi wanaume tuna tamaa na vishawishi vingi sana na mbwembwe zisizo za msingi, 1. Unataka kuonyesha umwamba ukweni, 2. Mke wako anakufananisha na wenzako waliokuzidi, 3. Ndugu zako wanakupiga mzinga uwasaidie 4. Ndugu za mke wako 5. Marafiki uliosoma nao, uliokua nao 6. Unataka kuweka akiba ya uzeeni na vitega uchumi vya kukutunza upepo ukibadilika . Mwkabisho na wengi lazima nyumba ndogo kadhaaa na kila siku wanazaliwa wazuri kuliko wa mwaka jana na juzi nao unatakiwa uwatunze uwawezeshe kupunguza ulilambiwe hovyo hovyo na kwa dhararu. Ukichanganya vyote hivi ndo maana sishauri kabisa maeneo sensitive ya maamuzi ya hela kuwaweka wananaume
 
Nakuunga mkono asilimia mia moja , sisi wanaume tuna tamaa na vishawishi vingi sana na mbwembwe zisizo za msingi, 1. Unataka kuonyesha umwamba ukweni, 2. Mke wako anakufananisha na wenzako waliokuzidi, 3. Ndugu zako wanakupiga mzinga uwasaidie 4. Ndugu za mke wako 5. Marafiki uliosoma nao, uliokua nao 6. Unataka kuweka akiba ya uzeeni na vitega uchumi vya kukutunza upepo ukibadilika . Mwkabisho na wengi lazima nyumba ndogo kadhaaa na kila siku wanazaliwa wazuri kuliko wa mwaka jana na juzi nao unatakiwa uwatunze uwawezeshe kupunguza ulilambiwe hovyo hovyo na kwa dhararu. Ukichanganya vyote hivi ndo maana sishauri kabisa maeneo sensitive ya maamuzi ya hela kuwaweka wananaume
Umemwaga point tupu
 
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st

View attachment 2931206
View attachment 2931263
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.

#Samia Mitano Tena,
Basi naye ampishe mwanamke kwenye hiyo nafasi
 
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st

View attachment 2931206
View attachment 2931263
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.

#Samia Mitano Tena,
Huu ni ukweli wa wazi
 
Nikweli wanaume sisi ni wezi sana,

Unakuta mtu anamichepuko 6 karibu Kila mkoa,

Unataka gari zuri mwanamke akuone,

Ukajenge kijijini,

Wanaume sisi ni wizi wizi wizi
Mbona Kuna wanawake pia wapigaji tu Mzee!!!?
 
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st

View attachment 2931206
View attachment 2931263
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.

#Samia Mitano Tena,
Samia mitano tena
 
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st
View attachment 3264362
===
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.

#Mwanamke Samia Mitano Tena,


===
Kafulila huyu mama asipokupa shavu jua kabisa unalaana
 
  • Dislike
Reactions: YAY
Nikweli wanaume sisi ni wezi sana,

Unakuta mtu anamichepuko 6 karibu Kila mkoa,

Unataka gari zuri mwanamke akuone,

Ukajenge kijijini,

Wanaume sisi ni wizi wizi wizi
Siku wezi ni wote tu,

Unakuta mwanamke amekuwa jambazi wa kupitiliza,

Hili la wanawake nadhani liangaliwe kwa Upya.
 
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st
View attachment 3264362
===
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.

#Mwanamke Samia Mitano Tena,


===
Mbona wewe mwanamke mmoja tu alikushinda hawa wanawake sio kabisa
 
Back
Top Bottom