Patriot missile
JF-Expert Member
- Jun 16, 2024
- 280
- 423
Wahuni gani? Uchawa sio jambo jemaNdio maana wahuni wana waliharibia jeshi la Polisi kwenye kubambikia kesi watu, na dipipi kukosa uweledi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni gani? Uchawa sio jambo jemaNdio maana wahuni wana waliharibia jeshi la Polisi kwenye kubambikia kesi watu, na dipipi kukosa uweledi
Wahuni ni baadhi ya wasukuma faili na watendaji katika offisi kuu, ambao wanatoa maelekezo kwa kufuata maamuzi yao na kuifanya kama ndio ya juuWahuni gani? Uchawa sio jambo jema
Nakuunga mkono asilimia mia moja , sisi wanaume tuna tamaa na vishawishi vingi sana na mbwembwe zisizo za msingi, 1. Unataka kuonyesha umwamba ukweni, 2. Mke wako anakufananisha na wenzako waliokuzidi, 3. Ndugu zako wanakupiga mzinga uwasaidie 4. Ndugu za mke wako 5. Marafiki uliosoma nao, uliokua nao 6. Unataka kuweka akiba ya uzeeni na vitega uchumi vya kukutunza upepo ukibadilika . Mwkabisho na wengi lazima nyumba ndogo kadhaaa na kila siku wanazaliwa wazuri kuliko wa mwaka jana na juzi nao unatakiwa uwatunze uwawezeshe kupunguza ulilambiwe hovyo hovyo na kwa dhararu. Ukichanganya vyote hivi ndo maana sishauri kabisa maeneo sensitive ya maamuzi ya hela kuwaweka wananaumeNikweli wanaume sisi ni wezi sana,
Unakuta mtu anamichepuko 6 karibu Kila mkoa,
Unataka gari zuri mwanamke akuone,
Ukajenge kijijini,
Wanaume sisi ni wizi wizi wizi
kwenye hela na utulivu wa maamuzi wapo vizuri baadhi yaoHawa wanaume wa hizi zama sijawahi kuwaelewa, wapo bzy sana kuwapigia debe wanawake
sijui usemeje kwa sauti usikike maana hii ndo kansa tuliyonayo kubwaWatanzania wanataka viongozi wakali na ambao wakisema wanamaanisha,,, kama watakuwa hivyo watafanikiwa
Umemwaga point tupuNakuunga mkono asilimia mia moja , sisi wanaume tuna tamaa na vishawishi vingi sana na mbwembwe zisizo za msingi, 1. Unataka kuonyesha umwamba ukweni, 2. Mke wako anakufananisha na wenzako waliokuzidi, 3. Ndugu zako wanakupiga mzinga uwasaidie 4. Ndugu za mke wako 5. Marafiki uliosoma nao, uliokua nao 6. Unataka kuweka akiba ya uzeeni na vitega uchumi vya kukutunza upepo ukibadilika . Mwkabisho na wengi lazima nyumba ndogo kadhaaa na kila siku wanazaliwa wazuri kuliko wa mwaka jana na juzi nao unatakiwa uwatunze uwawezeshe kupunguza ulilambiwe hovyo hovyo na kwa dhararu. Ukichanganya vyote hivi ndo maana sishauri kabisa maeneo sensitive ya maamuzi ya hela kuwaweka wananaume
Hao Viongozi wakali watatoka kwenye jamii gani?sijui usemeje kwa sauti usikike maana hii ndo kansa tuliyonayo kubwa
Humu muhu ndugu yangu sema mfumo nao upo makini kutokuwaruhusu wapenyeHao Viongozi wakali watatoka kwenye jamii gani?
ahsante sana ndugu wanaume na rushwa ni janga kwelikweli ahaa aahaaaaUmemwaga point tupu
Basi naye ampishe mwanamke kwenye hiyo nafasi
Rank Country % of Women in Parliament Global rank 1 Rwanda 61.3% 1st 2 Senegal 46.1% 11th 3 South Africa 45.8% 14th 4 Namibia 44.2% 19th 5 Mozambique 43.2% 20th 6 Ethiopia 41.3% 25th 7 Cabo Verde 38.9% 30th 8 Angola 38.6% 32nd 9 Burundi 38.2% 36th 10 United Republic of Tanzania 37.4% 41st
View attachment 2931206
View attachment 2931263
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;
Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.
Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.
Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).
Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.
Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.
Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%
#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.
#Samia Mitano Tena,
Huu ni ukweli wa wazi
Rank Country % of Women in Parliament Global rank 1 Rwanda 61.3% 1st 2 Senegal 46.1% 11th 3 South Africa 45.8% 14th 4 Namibia 44.2% 19th 5 Mozambique 43.2% 20th 6 Ethiopia 41.3% 25th 7 Cabo Verde 38.9% 30th 8 Angola 38.6% 32nd 9 Burundi 38.2% 36th 10 United Republic of Tanzania 37.4% 41st
View attachment 2931206
View attachment 2931263
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;
Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.
Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.
Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).
Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.
Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.
Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%
#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.
#Samia Mitano Tena,
Mbona Kuna wanawake pia wapigaji tu Mzee!!!?Nikweli wanaume sisi ni wezi sana,
Unakuta mtu anamichepuko 6 karibu Kila mkoa,
Unataka gari zuri mwanamke akuone,
Ukajenge kijijini,
Wanaume sisi ni wizi wizi wizi
😂😂Angemuachia Jesca Kishoa awe kichwa cha familia yake hiyo ndoa yao isingekufa bila shaka!
Samia mitano tena
Rank Country % of Women in Parliament Global rank 1 Rwanda 61.3% 1st 2 Senegal 46.1% 11th 3 South Africa 45.8% 14th 4 Namibia 44.2% 19th 5 Mozambique 43.2% 20th 6 Ethiopia 41.3% 25th 7 Cabo Verde 38.9% 30th 8 Angola 38.6% 32nd 9 Burundi 38.2% 36th 10 United Republic of Tanzania 37.4% 41st
View attachment 2931206
View attachment 2931263
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;
Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.
Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.
Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).
Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.
Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.
Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%
#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.
#Samia Mitano Tena,
Kafulila huyu mama asipokupa shavu jua kabisa unalaanaView attachment 3264362
Rank Country % of Women in Parliament Global rank 1 Rwanda 61.3% 1st 2 Senegal 46.1% 11th 3 South Africa 45.8% 14th 4 Namibia 44.2% 19th 5 Mozambique 43.2% 20th 6 Ethiopia 41.3% 25th 7 Cabo Verde 38.9% 30th 8 Angola 38.6% 32nd 9 Burundi 38.2% 36th 10 United Republic of Tanzania 37.4% 41st
===
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;
Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.
Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.
Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).
Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.
Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.
Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%
#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.
#Mwanamke Samia Mitano Tena,
===
Unatakaje kwani BAVICHA?Jamaa anatafuta maandiko ya kumchota mama akili. Huu uchawa, hakuna jina lingine
Siku wezi ni wote tu,Nikweli wanaume sisi ni wezi sana,
Unakuta mtu anamichepuko 6 karibu Kila mkoa,
Unataka gari zuri mwanamke akuone,
Ukajenge kijijini,
Wanaume sisi ni wizi wizi wizi
Mbona wewe mwanamke mmoja tu alikushinda hawa wanawake sio kabisaView attachment 3264362
Rank Country % of Women in Parliament Global rank 1 Rwanda 61.3% 1st 2 Senegal 46.1% 11th 3 South Africa 45.8% 14th 4 Namibia 44.2% 19th 5 Mozambique 43.2% 20th 6 Ethiopia 41.3% 25th 7 Cabo Verde 38.9% 30th 8 Angola 38.6% 32nd 9 Burundi 38.2% 36th 10 United Republic of Tanzania 37.4% 41st
===
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;
Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.
Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu.
Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu ametimiza miaka minne ya Urais lakini hayuko Mtanzania hata mmoja awe ni mpinzani au MwanaCCM anayeweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (Samia ni mwanamke).
Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini zaidi Wanawake Barani Africa kwa sasa.
Huenda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu katika Ukanda mzima wa Africa ya Mashariki.
Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa hata hivyo tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% bado tunayo safari ndefu ya kuwawezesha wanawake walau tufikie 50%
#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama ilivyo kwa Wanaume.
#Mwanamke Samia Mitano Tena,
===