DAVOS, Switzerland: Rais wa Ukraine Zelensky akutana na kufanya mazungumzo na Rais Kagame wa Rwanda

DAVOS, Switzerland: Rais wa Ukraine Zelensky akutana na kufanya mazungumzo na Rais Kagame wa Rwanda

Kwani huyo kagame mwenyewe si kibaraka wa mabeberu? Pamoja na usanii kujifanya mwana afrika atafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wampe pesa. Mungu apishilie mbali samia asije mkaribisha zelensky dar es salaam au sivyo atajitilia sahihi na kuondoa shaka kwa wanamapinduzi ndani na nje ya chama cha mapinduzi kama naye ni kibaraka wa magharibi.
waafrika kwasasa akili zenu zmelala , kuna vitu vya msingi ila mnawaza ujinga tu , swala la mtu kuwa kumfuasi wa ukanda fulani sio hoja ila hoja anawajibika kwa wananchi wake ? Ukraine kuna vita lkn hakuna mgao wa umeme ila Tz hkn vita lkn matatizo chungu nzima ila akijifanya kuwananga magharibi mnafurahi na mnasahau kuhoji mambo nyeti , HV WAAFRIKA MMEROGWA NA NAN ? asilimia kubwa ya matatizo yenu sababu sio Uchina , Uarabuni wala Mabeberu ila ni UJINGA WENU HUU WA KUSHINDWA KUWAHOJI VIONGOZ WENU MASWALI SAHIHI NA KUJIKITA KWENY VITY HAVINA TIJA KWENU

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Haha kiboko huku anarandaranda kupitisha bakuli... Kavita kamekua kagumu muungano wote umesanda kwa mtu mmoja Putin.......
ukiitwa nyanyyy usinune , Ukraine haina mgao wa umeme , ila unaona sw kuwa na mgao wa umeme ila sio sw huyo Zele kuendelea kupambana kutatua matatizo ya nchi yake , unataka awe maskin kama Tanzagiza yko hii

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Anatafuta askari wa kwenda kufia vitani, Kagame huwa anajikuta superpower .
endeleaa kuwa msukule wa utumwa mambo leo wenzio wanaamka leo hii ukanda huu Ikulu na maeneo nyeti yanalindwa na askari wa Rwanda , nyie endeleen kulala na Sa100 wenu

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kajinga sana haka kajamaa. Nguvu hakana, halafu kanaamua kujitutumua! Ona sasa kanavyo hangaika huku na kule kutafuta msaada!

Mabeberu wenyewe aliokuwa anawategemea, wote wanapumulia mashine! Kutokana na ujinga wake, kamesababisha bei ya vyakula na mafuta kupanda maradufu!! Hopeless kabisa.
Alitakiwa atulie tuli wakati amevamiwa?
 
waafrika kwasasa akili zenu zmelala , kuna vitu vya msingi ila mnawaza ujinga tu , swala la mtu kuwa kumfuasi wa ukanda fulani sio hoja ila hoja anawajibika kwa wananchi wake ? Ukraine kuna vita lkn hakuna mgao wa umeme ila Tz hkn vita lkn matatizo chungu nzima ila akijifanya kuwananga magharibi mnafurahi na mnasahau kuhoji mambo nyeti , HV WAAFRIKA MMEROGWA NA NAN ? asilimia kubwa ya matatizo yenu sababu sio Uchina , Uarabuni wala Mabeberu ila ni UJINGA WENU HUU WA KUSHINDWA KUWAHOJI VIONGOZ WENU MASWALI SAHIHI NA KUJIKITA KWENY VITY HAVINA TIJA KWENU

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Mara ya mwisho umeenda Ukraine ni lini?
 
Unatumia mfano wa mke kutaka kujustify usichokijua...? Tafuta maarifa kwanza sio stories za vijiweni
wewe ndo huelew , hiyo smartphone isikutie ujinga , Ukraine amekuwa anavamiwa na Urusi tangu zama na zama na wamekuwa wanapigana kujilinda , km alivyofanya Zele , sijui upumbav wenu wa kumlaumu Zele huwa mnautoa wap ? Kiufup mnaomponda huyo jamaa ni ile mijinga haijui historia lolote kuhusu Ukraine na Urusi ,mijinga hiyo huamin hii vita ina uhusiano na magharibi sio KWEL

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Hujui unaloandika; wewe ni mfuata propaganda tu. Huwezi kusema mwenzio ambaye ni kiongozi wa nchi iliyovamiwa na anajitahid kupigania nchi yake ukasema eti ni kibaraka. Unajua aliingiaje madarakani mpaka kuwa rais wa Ukraine? Ukraine siyo Urusi ambayeo Rais wake ni mtu mmoja tu, Ukraine kila baada ya miaka mitano inafanya uchaguzi na rais anaweza kuwa mtu yeyote yule.
huyo jamaa ni mpumbav kbs

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Bwana yule ntu wa dili si ajabu hapo " zele baadhi ya silaha zikiletwa niuzie nna jambo langu kule ukanda wetu" [emoji1787][emoji1787]
kama mmelala mnataka wote walale , mngekuwa na akili mngewaamsha viongoz wenu waache uza nchi badala yake wajikite kupambana na mabadiliko ya siasa za ulimwengu

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Ww sindo unadhinda humu ukiwananga wapalestina wanao pigania taifa lao kuwa ni magaidi?
Acha unonko.
unapigana kwa kuteka raia wa mataifa mengine ? hv hujui wao wapalestina ndo walikataa uhuru wao mwaka 1948 ? pia wakakataaa uhuru wao mwaka 2000 , wapalestina wanatumiwa kuwafuta wayaudi na sio kupigania uhuru

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Pumbafu kabisa; leta post yangu moja inayohusu Palestina ili uonekane kweli kuwa unaandika mantiki. Achikilia mbali kushinda hapa, wewe leta post moja tu.

Watu wa kufuata mkumbo wa propaganda kama wewe mna tabia ya kujitungia ukweli wenu kufurahisha mioyo yenu japokuwa siyo kweli.
hana akili huyoo bwana #ITR

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Una akili ndogo sana bila shaka. Ungekuwa na uelewa mkubwa juu ya huo mgogoro, usingeandika haya matapishi yako hapa.
wewe ndo mpumbav hujui na unamkosoa mwenzio , Urusi ana kila aina ya makosa kwenye huu mgogoro , Urusi hajaanza 2022 na anatumia uongo kuwashika mijitu mijinga kama wewe , Urusi amekuwa anawaua waukraine tangu mwaka 1945 je NATO ilikwepo enzi hizo ? na sio Ukraine tu bali Urusi amekuwa anawaona all former USSR states atakavyo

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Watu wenye akili fupi ni rahisi sana kuwagundua. Eti analeta habari ya mke, sijui umekaa sebuleni! Huku akiwa hajui chochote kuhusu historia ya hilo eneo na pia chokochoko zisizoisha za Marekani dhidi ya Urusi.
hv kila mgogoro lzm mumtaje Marekan ? hv si Biden alimuasa Putin asiivamie Ukraine siku mbili kabla , wengi wenu mnaiabudu USA na kuiona zaid ya mungu maana kila kitu mnauhusisha MAREKAN kana kwamba kabla ya 1948 USA DOMINATION hakukuwa na migogoro , muda mwingine mna mkufuru mungu , kama una akili timamu ungeelewa Ukraine alikaa kimya sn licha ya Urusi kumchokonoa Ukraine tangu mwaka 2013 na mwishowe Urusi huyo huyo akaivamia Ukraine , bado lijinga limoja km ww linapata nguvu za kuitaja MAREKAN , hv mnavutaga bangi ?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom