mimi sitibu na wala sina elimu yoyote ya utabibu chiefInbox kufanya nini? Unashindwa Vipi kupost hapa?
Ili iweje? Umezuiwa na Nani kushare hapa?
Shangaa wewe, miye ndio nashindwa kuwaelewa kabisa.
Mbona zipo na ni za kutumia mboga au matunda...Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.
Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
PichaNiko na majani nayatumia saizi kutoka umasaini huko ndanindani naona walau yanafanya vizuri.. Ila hizi za hospitali nimehangaika sana bila mafanikio
Ni mpira wanaouingiza tumboni unaenda kuangalia hivyo vidonda? Mi kidogo nitapike maana unahisi maumivu kama kuguswa na nyasi kwenye kucha iliyotoka vidoleni.Kile kipimo cha kuingiza tumboni nilipandisha presha aisee ni balaa
Ngozi ilikuwa ina changamoto gani?Wamasai dawa zao nzuri sana Ila sio hawa WA mjini sikuizi wanachakachua Hadi wao.. Inabidi uwatafute wale WA porini kabisa..
Nakumbuka Nilikuaga na ugonjwa WA ngozi nilisumbuka nao Sana mahospitali karibu miaka mitatu kama sio minne.. Kuna mmasai mmoja alikua mpangaji wetu aliniambia nikienda nyumbani nitakuletea dawa,, kweli alinitelea unga flani hivi nikawa nakunywa kila siku asubuhi na jioni ndani ya mwezi mmoja tu nilipona na makovu yote yalifutika, nimekua na ngozi nyororo kama ya mtoto mdogo.., na ninaitunza dawa ninayo Hadi Leo Hua nakunywaga mara chache chache isiishe[emoji3526][emoji3526]
Hayo hapo mkuu
Nilikua naota vipele vidogo vidogo nikikuna vinatoa maji halafu vinasambaa nakua kama nimeungua moto,, hospitali walikua wananiambia fungus.. .
Hicho kipimo kikigusa tumbo kuchukua hayo maji maji lazima uitikie Mjomba, ni balaa tupu japo ni kipimo sahihi kabisaGastroscopy ni mpira mwembamba mrefu unaoingizwa kinywani, unashuka kupitia kooni mpaka tumboni. Huu mpira una lensi ndogo kwa mbele yenye taa. Mpira unapofika tumboni ile lensi inaonyesha kule ndani ya tumbo na utumbo mdogo kama kuna vidonda kwa kutumia screen iliyounganishwa na huo mpira. Unaambiwa usile chakula asubuhi kabla ya kwenda kwenye kipimo ili tumbo liwe wazi na lensi iweze kuonyesha. Pia kwa kutumia huo huo mpira wanaweza kuchukuwa maji maji (sample )kutoka kwenye tumbo ili kwenda kupima. Hiki ni kipimo cha uhakika zaidi kuliko kupima choo au kukisia kwa kutumia dalili anazosema mgonjwa. NB: kipimo kinafanyika bila kuwekewa nusu kaputi na hakina shida i.e. hujisikii vibaya kama unavyoweza kudhani kabla ya kufanyiwa.
Maziwa mtindi ni mbabe wa kutoa gesi tumboni, ukigonga glasi 1 au 2 asubuhi na jioni kila siku lazima ujambe vya kutosha na kutoa haja kubwa mara 2 kwa siku ambapo ndiyo utaratibu sahihi kiafya, ukishindwa sana juisi ya ukwaju nayo ni njema sana.Naona tatizo limekuwa kubwa hasa Bongo, Mimi sina dawa ya kuponya lakini kings ukitaka usiumwe vidonda vya tumbo kinga ipo.
Ukitaka usipatwe kabisa na vidonda vya tumbo tumia anti gas, na matunda yanayosaidia kuondowa gesi tumboni, hata ndizi mbivu ni nzuri haina citric acid, kwenye chai na maji tumia limao hii ni nzuri sana.
Kwa sasa Mimi natumia vidonge Anti ,acid huwa naletewa kutoka Marekani, ni vidonge viwili kila baada ya wiki mbili unaweza kuvimezea na maji au kuvimezea na bia, issue ya gas tumboni Marekani,walishamalizana nayo kitambo Tu.
Kama Una mtu Marekani akutumie Kwa wingi vidonge hivi upati vidonda vya tumbo kamwe.
Halafu muelewe kujamba ni ahuweni Kwa tumbo lako, mbaya wa tumbo ni gas.
Wazee wa fursa na utapeli hao, kaa nao mbali kama sumu kwa Mtoto.Sasa wakuu mnaosema tuje DM kwanini msitusidie hapa hadharani wengi tujue na naamini hili tatizo linasumbua wengi nao wanasoma huu uzi na kujifunza.
Huyo Mtu unamfahamu ili sote tushee naye matibabu? Maana kuna Mdogo wangu ana changamoto kama hiyo kitambo sana na bado hajapata tiba.Nilikua naota vipele vidogo vidogo nikikuna vinatoa maji halafu vinasambaa nakua kama nimeungua moto,, hospitali walikua wananiambia fungus.. .
Nilipewaga huo apo unga hua natumia kama majani ya chai, hadi leo ngozi yangu iko soft hadi miguuni mwanzo nilikua na madoa doa ila saizi yamefutika yote
Yeah, bado nawasiliana nae.. Ntaongea nae kwanza halafu nitakupa namba yake, unikumbushe badae jioniHuyo Mtu unamfahamu ili sote tushee naye matibabu? Maana kuna Mdogo wangu ana changamoto kama hiyo kitambo sana na bado hajapata tiba.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mimi presha ilipanda aisee ila baadae nikajikaza nikapima tenaNi mpira wanaouingiza tumboni unaenda kuangalia hivyo vidonda? Mi kidogo nitapike maana unahisi maumivu kama kuguswa na nyasi kwenye kucha iliyotoka vidoleni.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sawa sawa, ndiyo nimekukumbusha sasa hivi Dada.Yeah, bado nawasiliana nae.. Ntaongea nae kwanza halafu nitakupa namba yake, unikumbushe badae jioni
Chukua na ndizi mbichi, zikate Mara 2- Kisha zianike juani.Niko na majani nayatumia saizi kutoka umasaini huko ndanindani naona walau yanafanya vizuri.. Ila hizi za hospitali nimehangaika sana bila mafanikio