Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

Inbox kufanya nini? Unashindwa Vipi kupost hapa?

Ili iweje? Umezuiwa na Nani kushare hapa?

Shangaa wewe, miye ndio nashindwa kuwaelewa kabisa.
mimi sitibu na wala sina elimu yoyote ya utabibu chief
Ila kuna mtalaamu mmoja namfahamu alisaidia ndugu yangu kwa hiyo nimemwambia lee akiendelea kupata changamoto anione nimpe mawasiliano ya huyo mtaalamu huwenda akamsaidia
sioni kama ni busara kuweka mawasiliano ya mtaalamu hapa kwa kuwa sijamuomba kufanya hivyo chief
 
Mbona zipo na ni za kutumia mboga au matunda...
 
Ngozi ilikuwa ina changamoto gani?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mimi vilinisumbua Sana kiasi nikianza kupata maumivu, mpaka ninywe dawa ndio vinatulia. Nilishauriwa nipunguze mawazo, nile chakula kwa wakati yaani nisisikie njaa na pia nifanye mazoezi. Kwakweli mpaka Leo hii, vidonda vya tumbo nasikia Tu wengine wakilalamika lakini Mimi sina.
 
Ngozi ilikuwa ina changamoto gani?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nilikua naota vipele vidogo vidogo nikikuna vinatoa maji halafu vinasambaa nakua kama nimeungua moto,, hospitali walikua wananiambia fungus.. .
Nilipewaga huo apo unga hua natumia kama majani ya chai, hadi leo ngozi yangu iko soft hadi miguuni mwanzo nilikua na madoa doa ila saizi yamefutika yote
 
Hicho kipimo kikigusa tumbo kuchukua hayo maji maji lazima uitikie Mjomba, ni balaa tupu japo ni kipimo sahihi kabisa

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Maziwa mtindi ni mbabe wa kutoa gesi tumboni, ukigonga glasi 1 au 2 asubuhi na jioni kila siku lazima ujambe vya kutosha na kutoa haja kubwa mara 2 kwa siku ambapo ndiyo utaratibu sahihi kiafya, ukishindwa sana juisi ya ukwaju nayo ni njema sana.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Huyo Mtu unamfahamu ili sote tushee naye matibabu? Maana kuna Mdogo wangu ana changamoto kama hiyo kitambo sana na bado hajapata tiba.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilitumia mkaa wa magome ya mkaratusi kwa kuchanganya na asali ya nyuki wadogo nikapona kabisa.

Wapo pia walionidokeza kuwa mafuta ya ubuyu yanatibu though sikutumia.

Pole sana mkuu!
 
Pole mkuu mimi vilikuwa vinanipa homa ya kuanzia chini ya mgongo kuoanda juu kupima nikaambiwa ni vyenyewe nikamwmbia dk kuna dawa naijua acha nikatumie hiyo nitarudi nikatumia
Unga wa manjano mpya [huu nguvu inakuwa kubwa ] vijiko 8
Unga wa pilipil manga vijiko 2
Asali robo 250ml
Unamix huo unga kwanza vizuri alafu unaweka hiyo asali yote
Matumiz vijiko 3 kutwa mara 3
Dozi unatengeneza huo mchanganyiko kwa mara 2 tu dozi inakamilika
NB NILIPONA mpaka leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko na majani nayatumia saizi kutoka umasaini huko ndanindani naona walau yanafanya vizuri.. Ila hizi za hospitali nimehangaika sana bila mafanikio
Chukua na ndizi mbichi, zikate Mara 2- Kisha zianike juani.
👉Tumia katika chai isiyo na sukari ni 🔥🔥🔥.
👉Tafuta amoxicillin, tridamol na trinidazole uta kaa poa mno Interlacustrine R
 
Mkuu usihangaike na hii kitu. Kuna jamaa yangu alinipa dawa free ikaniponya kabisa, naweza nikamuomba akusaidie na wewe.
Kama atakutoza haiwezi shilingi 5000. Nakutumia namba inbox.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…