Dawa ya kumfanya mwanaume akupende na hatimaye akuoe

 
@
dronedrake Poor Brain mtaoa mwaka huu mbagajr24
 
mkuu ni wapi ukristo unakataza wake watatu
Sheikh mtume Issa bin Mariam alitoa elimu na kuwaachia akina Paul watufunze sisi waje wake kwamba wake/waume wawe na mke/mume mmoja, hebu pitia kitabu cha 1 Corinthians 7, hapo mwanzo tu.
 
Sheikh mtume Issa bin Mariam alitoa elimu na kuwaachia akina Paul watufunze sisi waje wake kwamba wake/waume wawe na mke/mume mmoja, hebu pitia kitabu cha 1 Corinthians 7, hapo mwanzo tu.
sioni chochote hapo unapo quote
 
Ajabu sana dada zetu watafuata huu ushauri, wamejazana si nyumba za ibada wala huko kwa wataalam kuzitafuta ndoa.

Ila kwa vile wamekiri wanaweza kuishi bila mwanaume, basi tuwaache wapambane na hali zao.
 
mkuu ni wapi ukristo unakataza wake watatu

Mwanzo 2:24 (KJV) Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
—————————————————————

Mathayo 19:3-9 (KJV) Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu?
Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
 
na sisi wanaume tupe ya KUPATA hela
 
hakuna sehemu inaongelea idadi ya wanawake wa kuoa katika hivo vifungu
check context ya kinachoongelewa
Yakobo mwenyewe baba wa taifa takatifu alikuwa nao wanne
Samweli nabii baba yake alikuwa nao wawili
Ibrahim alikuwa nao wawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…