Dawa ya kumfanya mwanaume akupende na hatimaye akuoe

Mwanamke aliye desperate mpaka kutafuta dawa hivi, anaweza hata kukuua, bila kupanga.

Ni wa kuogopwa sana.
Jamaa yupo kimkakati, hapo katega nyavu kwa wanaotaka kutengenezewa dawa achukuwe maokoto.

Mjini njoo na akili tu jembe acha kijijini kwenu.
 
Sheikh mtume Issa bin Mariam alitoa elimu na kuwaachia akina Paul watufunze sisi waje wake kwamba wake/waume wawe na mke/mume mmoja, hebu pitia kitabu cha 1 Corinthians 7, hapo mwanzo tu.
Sasa hao wengine wazini tu wasiolewe sio? Siamini hayo kua ni maneno ya Yesu.
 
Hamna dawa kama hiyo,kwani wale babu wa sumbawanga na Tanga wamekuambiaje kwenye mabango yao? Hadi hapo jua umeshaibiwa😂
 
Haya mambo yapo,kuna we hapa unajishebedua ila shida ikikufika mbona utafanya tu.
Niliwahi kuzongwa na mtu kwenye mahusiano alikuwa anafosi sana na mimi wala hata sina mpango naye mbona nilimweka mbali.
 
Dawa Kupenda na kuoa tena🙄🙄 uzi ufutwe mara moja .
 
Shishi mbona anaowa vivulana vipenda mseleleko anavichezea vikishamtowa nyege anavibwaga anatarget ukuni mpya.



Ni kama wameshambulia.. huyo kijana kaandika " nikakubali matokeo na kumpisha kijana mwenzangu aendeleze gurudumu"

😁
 
Haya mambo yapo,kuna we hapa unajishebedua ila shida ikikufika mbona utafanya tu.
Niliwahi kuzongwa na mtu kwenye mahusiano alikuwa anafosi sana na mimi wala hata sina mpango naye mbona nilimweka mbali.
Niwaheri ama,usiwe tu wa mchongo😁
 
Qmmmmmk, Kungwi ni Single mother wa zaidi ya miaka 7. Akili kichwani
 
 
Mkuu itakuwaje Kama wanawake watatu wakinifanyia hivyo na Mimi Ni mkristo ..??
Mbona mwamposa pia anawapa chumvi na anawambia mchukue mchanga wa eneo la biashara? Wakristo mnapenda kujifanya wataktifu wakati ni wachawi wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…