Dawa ya nywele zilizokazwa sana ni nini?

Mnalalamika hatuwafikishi kileleni kumbe wakati unamgegeda mwenzako anasikilizia maumivu ya nywele zilizokazwa hisia hazipo kwenye tendo kabisa
 

Nywele kama hyo ila ya uzi sasa. Huyo hajasukia uzi huu wa kawaida.
 
Mwagia mafuta ya nazi mengi ccy
 
Mwagia mafuta ya nazi mengi ccy
Leo mnanipa ushauri murua ila kila kitu sina humu ndani. Ukisikia kufa kwa nyani ndo leo hapa nina mgando blue magic tuu na Radiant ya mba
 
Ndo maana nliamua kua rasi tu.... kusuka kulinishinda, kunyoa nako nlichoka
 
Next time uwe unaenda hizi saluni za natural hair au tafuta music mmoja permanent asiyeumiza
 
Leo mnanipa ushauri murua ila kila kitu sina humu ndani. Ukisikia kufa kwa nyani ndo leo hapa nina mgando blue magic tuu na Radiant ya mba
Uuuuh Leo utalala kichwa juuπŸ˜…
Ungekua na mafuta ya nazi ungejimwagia nusu saa tu maumivu yashaisha
 
Kumbe za nyuzi.......πŸ™†πŸ™†πŸ™† nywele za Uzi mhhh mim hapana nishawai kusukwa nkaanza kulia saloon nzima wananicheka.
Kwanza nlihama kabisa hyo saloon
Hata sio nyingi elfu 30 tuu pomoja na nyuzi huku kwetu bado tunasukana ki ujamaa. Ila kwa usawa huu acha tuu nivumilie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…