NKWENYE
Member
- Feb 19, 2017
- 57
- 183
Hicho ndicho mbowe alikuwa anataka kifanyike kwa manufaa yake na wanaharakati wanaojitambua... Alitaka afuatwe siyo kujipeleka kama gogo.. Aidha apelekewe taarifa kiutaratibu... taarifa ya lizaboni sisi haitushtui coz tulijua hayo mambo mawili lazima yatokee...